Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,994
- 13,310
nimeshindwa kuunga dot wakati wote.Labella ndo mimi, na hizo shengesha zote zimeanzia juzi. Ila jana sasa ndio presha zikawapanda ndio km hivi..!!
Jogoo huyo kwiyooo 😹😹😹
Nimekuvulia kofia
nimeshindwa kuunga dot wakati wote.Labella ndo mimi, na hizo shengesha zote zimeanzia juzi. Ila jana sasa ndio presha zikawapanda ndio km hivi..!!
Jogoo huyo kwiyooo 😹😹😹
Kesho mambo yatabadilika humu😂😂😂 haufungwiiii, niamini mie.
Na ndimu kabisaa, km sio chachanduu.😀😀😀Utasema nimekunywa supu ya pilipili
Na kitawaka kesho humu, watu wako huko kuandaa Kombora.Kesho mambo yatabadilika humu
We nawe Ntakuchapa 😹😹NYC bwoii, punguza mahaba kwa Uduguu, Waja wanajua trip ya kwa maandishi 3 ni kugusa tuu,
Kumbe wala hata, 😂😂😂
Mjomba ako kaninunia kalipa ada juz juz alaf mtihani nimepata 5 sasa km akili hazitaki mm nifanyaje jamani anasema anaonea huruma wanae😂😂😂😂😂Na ndimu kabisaa, km sio chachanduu.
😂😂😂
Basi wana kazi nzito km ni hivyo 😹😹😂😂😂 umechelewa kumsoma labda, yuko hivyo siku zote.
Ndio maana siku naona picha yake nilimchana, hufanani na mambo yako, aka react, ya humu ni ya humu, nilimuelewa pia.
😂😂😂 uduguuu, em lala kwanii.We nawe Ntakuchapa 😹😹
Hapo huyo Ambition sijamfungulia pm sa ningefungua ingekuwaje? 😹😹😹
Kwa Kantry nimepigwa mawe mpk wengine wanamtag kwenye nyuzi wajitongozeshe na uzuri wa mweusi akili 2 akawachana “Nitamtooo mpaka akome” wakaona aibu mi nikapita nacheka zangu..!! 😹😹😹
Nyie wapuuzi mniletee vizee vyenu basi niwe mama yenu mdogo, ili nyie muwabebe hawa wanaume ninaotaniana nao..!!
😂😂😂😂Basi wana kazi nzito km ni hivyo 😹😹
😹😹😹😂😂😂😂 mbona kwiooo.
😂😂😂 nimechekaa shangazii. Unasoma nini na uzee wote huo?Mjomba ako kaninunia kalipa ada juz juz alaf mtihani nimepata 5 sasa km akili hazitaki mm nifanyaje jamani anasema anaonea huruma wanae😂😂😂😂😂
Tutamshtaki EU JF haifungwi ni Hawa walimu wa TAMISEMI wana midomo..!! 😹😹😹Max akifunga naenda hadi kwake, 😂😂😂
Wee acha aunt😂😂😂 nimechekaa shangazii. Unasoma nini na uzee wote huo?
Hili mbona hadi kaka Max analijua nilifungua kuombea nitolewe ban..!! 😹😹wew ulikataagi likopi lako.
😂😂😂 wee nae hata kufungua dot hukuwezaa? Mbona hajifichi uduguu.
😹😹😹 Hayo majina wanakosa wachawi kweli?Ila kigamboni kunae sehemu huko Tungi. 😂😂😂
Nyiee aloooh.
😂😂😂😂 Poleee shangaziii, WoiiiihWee acha aunt
Mambo ya kulazimishana kusoma na uzee nimepata hesabu 5 aunt nasikilizia masimango tu hapa 😂😂
Shesrise kila akikusanua huelewi una kichwa kizito 😹😹nimeshindwa kuunga dot wakati wote.
Nimekuvulia kofia
Kigamboni kuna Waganga na Wachawii tuu.😹😹😹 Hayo majina wanakosa wachawi kweli?