cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,321
- 187,999
๐๐๐ ukasirike na ngenga za Selfika? Aaah unaua brand uduguu.๐น๐น๐น nimekasirika ujue acha kunichekesha..!!
Ujue huu uzii uko mabegani kwetuu?? Na una tutiii.
๐๐๐๐
๐๐๐ ukasirike na ngenga za Selfika? Aaah unaua brand uduguu.๐น๐น๐น nimekasirika ujue acha kunichekesha..!!
๐๐๐๐ uduguu sitakiii kuchekaaa!! KhaaahWatombweee bhasi watulie ebooh ๐
๐น๐น๐น Labda watu wazima walio jukwaa la siasa ila huko chitchat๐๐๐ uduguu kuna wanaume humu na robo 3, amini nakuambiaa.
Si unajua kuna mtu na mtu. ๐๐๐
Mimi aje hapa anieleze shida nini tufunge topic kukaa na kijiba siwezi.๐๐๐ ukasirike na ngenga za Selfika? Aaah unaua brand uduguu.
Ujue huu uzii uko mabegani kwetuu?? Na una tutiii.
๐๐๐๐
Kumeanza kuchangamkaWatombweee bhasi watulie ebooh ๐
Ila hii Selfika, maana waliosema picha si zake si ndio hao hao ambao wako nae Pa1 leo?๐น๐น๐น Labda watu wazima walio jukwaa la siasa ila huko chitchat
๐น๐น๐น Sasa wanataka nini?๐๐๐๐ uduguu sitakiii kuchekaaa!! Khaaah
Power mabula tena, wa kike au kiume ๐๐Mimi aje hapa anieleze shida nini tufunge topic kukaa na kijiba siwezi.
Maana habari za yeye kuambiwa pic sio zake kaniletea yeye. Kazitoa huko kwenye uzi wa hao waliokuwa wanamsema..!!
Ghafla kabadili gia angani anatutuhumu sisi..
Halafu hata hiyo pic yake yenyewe nishaisahau maskini..!!
Wakikaa na power mabula wake wanajazana upuuzi gani sijui? Em Mbaga yaongee hapa tumalizane..!!
Huu uzi hapana, nimekoma๐Power mabula tena, wa kike au kiume ๐๐
We nawe umechangia kufanya watu wavimbe. Uache kunichombeza kuselfika..!!Kumeanza kuchangamka
Picha gani si hiyo yuko kwenye Ofisi za Azam Media Ltd, hadi mwafula kasema ataanza kumuogopa, sijui wanamchota nani hasa, ๐๐๐Mimi aje hapa anieleze shida nini tufunge topic kukaa na kijiba siwezi.
Maana habari za yeye kuambiwa pic sio zake kaniletea yeye. Kazitoa huko kwenye uzi wa hao waliokuwa wanamsema..!!
Ghafla kabadili gia angani anatutuhumu sisi..
Halafu hata hiyo pic yake yenyewe nishaisahau maskini..!!
Wakikaa na power mabula wake wanajazana upuuzi gani sijui? Em Mbaga yaongee hapa tumalizane..!!
Dah spana zime anza kutembea, yetu macho tuHuu uzi hapana, nimekoma๐
Mwanzo na mwishoโฆ
Wa kibabe sana.
Watu wamevurugwa wakavurugika.
Gudi bai
๐น๐น๐น Wanajijua wenyewe hukoPower mabula tena, wa kike au kiume ๐๐
Atakuwa wa kike huyoPower mabula tena, wa kike au kiume ๐๐
Vipi sitopigwa au kusema, niki ku mention toto ๐Onhooo yaani nilikuwa nataka ku log out nilale ๐๐
๐๐๐๐ nimecheka hadi kupaliwaa, Vin kuumbuliwa kujifanya yuko eyapoti ya ufaransa, kumbe yuko kigamboni Mwembe radu.๐น๐น๐น Sasa wanataka nini?
Umefanya nikumbuke enzi ya vin nimepost dollar karuka huyo haamini anaanza kusema fake..!!
Yani humu sijui kwann watu wana visokorokwinyo sana..!!
Na mimi nimo?We nawe umechangia kufanya watu wavimbe. Uache kunichombeza kuselfika..!!
Kuna mishangazi inakuelewa inaona km umezama kwa labella kumbe hamna lolote..!!
Hii mipovu yote imewatoka kisa jana na leo kuweka pics zangu hapa..!!
Akupige nani bwana? Relax ๐๐๐ uzuri huu Uzi naujua vizuri mnoVipi sitopigwa au kusema, niki ku mention toto ๐
Ongeza info kidogo ๐Atakuwa wa kike huyo