Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 37,294
- 89,236
Umeanza mambo yako maka 😔Umechelewa mshikaji wangu, nxt time
Pita bhana ujue toka nimeona pic yako moyo unaenda kasi..!!
Kila ninachogusa nakuona wewe tu!! 😹
Umeanza mambo yako maka 😔Umechelewa mshikaji wangu, nxt time
Maka wewe likareeee yani vitu zangu kabisaa 😻Mzee wa exaggeration 🤣
Aahh, kmaaanina, binti laghai wewe 😂🤣Umeanza mambo yako maka 😔
Pita bhana ujue toka nimeona pic yako moyo unaenda kasi..!!
Kila ninachogusa nakuona wewe tu!! 😹
😹😹😹 Kwahiyo km wazuri tusiwasifie?
Wog pitaBalaa na nusu
Mbona meno sioni kama jana🤣Haya mkuu hiyo hapo😅
A woman from uvinzaMaka wewe likareeee yani vitu zangu kabisaa 😻
Sijawahi kuona huyu mtu,Balaa na nusu
Kweli hata kitanda nimekilalia nahisi wewe ndio godoro lenyewe 😻Aahh, kmaaanina, binti laghai wewe 😂🤣
Mi nasema ukweli hakuna chumvi hapo 😹Usizidishe chumvi🤣🤣
Kivipi tena mkuu mbona sielewi jamani😅mshamba_hachekwi 🥲hivi wewe wa kunifanyia hivo?
Unaelewa sana mpaka unachekaKivipi tena mkuu mbona sielewi jamani😅
Vitu zangu kabisaaa maka 😻A woman from uvinza
Kalale kesho jumatatu.Mbona meno sioni kama jana🤣
😅😅😅Vitu zangu kabisaaa maka 😻
Ile sura yako tu inaonyesha “Leo kazi ipo” wewe yani nakupa mpaka cds no yangu na stocks zote nakukabidhi utaamua wewe uuze au uendelee kuwekeza..!! Nakususia Portfolio yote na gawio lake..!!
Nimesema mkaka km wewe hutakiwi kufokewa..!! 😹😹
Sitakiii tena nina kesi na weweKalale kesho jumatatu.
Basi nimesahau mkuu naomba unikumbushe.Unaelewa sana mpaka unacheka
Kuwa na mashavu dodo pamoja na babyface sio dhambi mkuu.Sitakiii tena nina kesi na wewe