My friend kama tabia ni njema na ni mchapa kazi, maswala ya chakula ni kawaida, nunua chakula cha kutosha, atazoea tu, atakula atasaza..Nimepata dada wa nyumbani, changamoto yake akiwa jikoni muda wote mdomo unatafuna.
Nikawa nampotezea naona anaonja kawaida ila juzi naenda jikoni namkuta kitimoto kaweka kwenye nyanya tayari, ametenga vipande vi3 pembeni vya kutafuna na muda huo mdomo una nyama.
Hapa anakaanga chips, hii awamu ya 3 kila akitoa na yeye anachota anakula
Ukiwa sebleni unaona jikoni ndo maana namuona.
Hii ni kawaida kwa wote au🤔
Mwambie haupendi hiyo tabia kwanza ni mbaya! Analiaje jikoni? Kwani mkiweka chakula mezani hali au.. mwambie ukweli anakuona unakaa kimya ndio maana hawazi hata kutenga vipande vyake vitau pembeni!Nimepata dada wa nyumbani, changamoto yake akiwa jikoni muda wote mdomo unatafuna.
Nikawa nampotezea naona anaonja kawaida ila juzi naenda jikoni namkuta kitimoto kaweka kwenye nyanya tayari, ametenga vipande vi3 pembeni vya kutafuna na muda huo mdomo una nyama.
Hapa anakaanga chips, hii awamu ya 3 kila akitoa na yeye anachota anakula
Ukiwa sebleni unaona jikoni ndo maana namuona.
Hii ni kawaida kwa wote au🤔
Aww, looking great 😊Wekeend, mawardat.
View attachment 3603130
Sema we mzee mnafki sana basi tu🤣Kwa yale yaliyomo niliyoyaona, bila ng'ombe 100 haturuhusu wakuchukue mjukuu
Na ndiyo maana wale Vijana wa nyumba za jirani walikuwa hawaachi kuja kununua ice cream kumbe ilikuwa janja yao ya kuja kukuona 🤭
Awamu hii, Kweli nimepatikana babu yenu 🤗Tutakutibu mzee tulia
👍Jana nilitupia ila hukunibamba, kesho nakuita
Tutakuja wengi kila mtu ashike kiungo chake babu yetu aweze kurelax kabisa😂Awamu hii, Kweli nimepatikana babu yenu 🤗
Kwahiyo mkija wengi kwa pamoja ndiyo mnasaidiana yale majukumu?
Huyu anamwimbia babu na maiki, mwingine anampitisha vidole vyake laini kwenye kidevu
Kwa mwendo huo, sijui kama sitawapatia password ya akaunti yangu yenye pensheni 🤪🏃🏃
Nimefanyaje Mjukuu, Kuwa na huruma na Wazee 🤭Sema we mzee mnafki sana basi tu🤣
Nimewahi kwenda kule, mabinti wa kule wana madawa hatariNg’ombe 100 ni kwa wantuzu tu huko leo dada anaelewa!
Huna bahati mahi wikiend ijayo usicheze sanaTobaaaah!! Nimepitwaa tenaaa? Fanya kurudia mahi.
😢😢😢
Hahaha...........leo nina hadithi nyingi kweli za mwaka 47Tutakuja wengi kila mtu ashike kiungo chake babu yetu aweze kurelax kabisa😂
Yaani huyo haridhiki,hiyo kitu sipendi mtu anajishibia jikoni,nyie namsubiri apike kumbe mwenzenu anajishibiaNawaza jinsi ya kumwambia mpaka sasa nimepiga kimya kama chakula kinawekwa mezani aliye karibu anajichotea sahani anajaza na yeye ndo anapiga msosi mwingi kuzidi sisi sasa sielewi shida yake ni nini
Nakusalimia pia.uko poaKitambo sana hili jukwaa, Tayana-wog Ms eyes realMamy maboss zangu madam To yeye n.k nawasalimia kwa jina la Muumba wa vyote
Sawa babu nakujaHahaha...........leo nina hadithi nyingi kweli za mwaka 47
Njoo nikusimulie mjukuu 🤭 🤪
Aisee, good night 🙏Aww, looking great 😊
🔥🔥🔥🔥
Mambo si hayo ka emoj ka kishkaji swafi kabisa.
Uongo bwana,,, ntuzu na madawa ya mapenzi wapi na wapi
Hayo ndiyo maneno sasa 🤗Sawa babu nakuja