Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe sasa unanitengenezea vipengele, umeni tag kama makubaliano yetu?
Fanya kazi mkuu nikupe ujira wako
Nikutag vipi wakati mimi nimekusaidia kuripoti ifutwe na mods..!!
Wewe lipa pesa hiyo ahadi ni deni, hii pesa nitakudai na utaitoa usintanie ujue 😹😹😹

Halafu ukianza ubabaifu warembo watakuogopa humu..
 
Umeanza lini we mzee😂 rudi kwenye kiko au nikuvutishe mjani tu wewe
Nimeanza kujidunga 🍷nina miezi 4 sasa, siku ukiniletea Kiko utaniona mjukuu 🤭

Hapa nimekaa sehemu napiga glass huku nakula upepo wa mjini

Mjani nina miaka mingi napasha, mara nyingi nachanganya kwenye Kiko 🤪
 
Nani kwakwambia nina nyashi acha nitoke kwanza nitafute cha kula aisee nilipanga nitoke mida fulani uvivu ukabisha hodi🤣🤣
😹😹 Unalo nimeonyeshwa na roho mtaka fujo..!!

Hujala mpaka muda huu?
Fanya utafute chakula usije kupata ulcers
 
Nimeanza kujidunga 🍷nina miezi 4 sasa, siku ukiniletea Kiko utaniona mjukuu 🤭

Hapa nimekaa sehemu napiga glass huku nakula upepo wa mjini

Mjani nina miaka mingi napasha, mara nyingi nachanganya kwenye Kiko 🤪
Hongera sana, ni hatua kubwa sana babu!

Nishakata chupa hata siyumbi, malizia ka glass ukapumzike na bibi we mzee,

Nifanye mpango upate skunk, nikuhamishie kwenye chill squad yetu ni blunt kwenda mbele!😁
 
Nikutag vipi wakati mimi nimekusaidia kuripoti ifutwe na mods..!!
Wewe lipa pesa hiyo ahadi ni deni, hii pesa nitakudai na utaitoa usintanie ujue 😹😹😹

Halafu ukianza ubabaifu warembo watakuogopa humu..
Warembo wote ni marafiki zangu(friend with no benefits)
 
Back
Top Bottom