Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,431
- 94,847
Wewe tafuta issue nyingine huna uvumilivu 😹😹Ni post 🤣 kwenye simu yangu majina sijui kama yanafika 50 siku naamka na delete delete watu fake🤣🤣
Mimi mwenzio hata ex wangu sijamblock kuna siku nimepost mzigo kaupenda na kwa vile ex bei imejidouble nafidia muda wangu niliopoteza kwake..!! 😹😹😹
Bidhaa ya 150,000 nilimtoza 300,000 anasema unifanyie deriver mwenyewe namuitikia okay boss akilipia anapewa boda.. 😹😹