Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sipendi kabisa sehem zenye watu wengi. Sgr panaboa sana...Nishahama parokia ajili ya mpangilio wa kutoa sadaka. Yaani ukitoka kutoa ile umerudi kukaa watu wote wanakuangalia hadi unaweza kuanguka.
Na unaandika nyuzi ndefuuuuuuuu
Nimegundua watu tunaondika sana
Physical hua na aibu sanaa😀
 
Hujiulizi kwanini katika Uzee huu nilionao nauliza swali hilo

Usikute kuna ng'ombe 20 zimetangulizwa tayari Kijijini, nahitaji mtu wa kuniangalia katika Uzee wangu kama ilivyokuwa mfalme Daudi 🤪🏃🏃🏃
Zimetangulizwa kijiji cha wapi? 🤣

Mtu wa kuangalia wazee si kuna ma professional kabisa kwanini uchoshe wajukuu? Muda kama huu tunaenda hata paris huko sio kuniletea habari za kukuanika nje kila asubuhi akhaa! :peepoRun:
 
Ukiwa jf elewa vitu hivi
  • Mtu anayeandika kidogo hua ni muongeaji sana coz kiuhalisia hapendi kuandika ila anapenda kuongea.
  • Mtu anayeandika magazeti hua sio mzuri kwenye verbal communication so anatumia kuongea kwa kutumia vidole
  • Kila tabia mbaya au nzuri unayoona kwa member yoyote humu basi ujue ndio uhalisia wake anaweza sema kua huku anaigiza tu but sio kweli. Huku ndio mtu huonyesha uhalisia wake kwakua hakuna anayemjua. Ila huko in real life tunafake . Eg. Kila mtu humu anajua I'm a good writer na nimeandika meeeengi sana ila huku mtaani hakuna anayejua kama nina uwezo wa kuandika vitu
Mimi Niko tofauti Mkuu
 
Ukiwa jf elewa vitu hivi
  • Mtu anayeandika kidogo hua ni muongeaji sana coz kiuhalisia hapendi kuandika ila anapenda kuongea.
  • Mtu anayeandika magazeti hua sio mzuri kwenye verbal communication so anatumia kuongea kwa kutumia vidole
Mimi live kuongea naishiwa power 😀
  • Kila tabia mbaya au nzuri unayoona kwa member yoyote humu basi ujue ndio uhalisia wake anaweza sema kua huku anaigiza tu but sio kweli. Huku ndio mtu huonyesha uhalisia wake kwakua hakuna anayemjua. Ila huko in real life tunafake
Sina uhakika hapa
  • . Eg. Kila mtu humu anajua I'm a good writer na nimeandika meeeengi sana ila huku mtaani hakuna anayejua kama nina uwezo wa kuandika vitu
Unaandika tena vitu vimenyooka🔥
 
Back
Top Bottom