Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni kweli Mzee mwenzangu, huyo nimsemaye alikuwa mweupe na mrefu kama twiga ....just imagine

Koh koh koh 🤭
Hapo najua ulikuwa huna la kumwambia,, sasa wa huko akiwa hivyo eti ashike dawa!!!¡ Hiiii
Seems hujakaa sana kule, watu wana vitu vya kutoka gamboshi
Me huko nakuelewa vizuri.
Wana mambo lakini si kama story zinavyosema.
Halafu mi nimezunguka sehemu nyingi Tanzania usukumani hakuna uchawi ila story ni nyingi
 
Umesema nianzie huku lakini😀
Ndio hata huku kuna wateja..!! 😹
Nenda kkoo kwenye maduka ya jumla ulizia vitu bei kisha piga picha anza kutangaza. Lazima upate wateja.
Hiyo haina mtaji ni wewe kujitoa kwenda kutafuta machimbo..!

Ukizoea unatafuta goli lako unapoa wateja wanakuja wenyewe ofisini..!!

Kama una mtaji na pesa ya kutosha tafuta fremu Sinza au kkoo.
 
Ndio hata huku kuna wateja..!! 😹
Nenda kkoo kwenye maduka ya jumla ulizia vitu bei kisha piga picha anza kutangaza. Lazima upate wateja.
Hiyo haina mtaji ni wewe kujitoa kwenda kutafuta machimbo..!

Ukizoea unatafuta goli lako unapoa wateja wanakuja wenyewe ofisini..!!

Kama una mtaji na pesa ya kutosha tafuta fremu Sinza au kkoo.
Ni post 🤣 kwenye simu yangu majina sijui kama yanafika 50 siku naamka na delete delete watu fake🤣🤣
 
Back
Top Bottom