MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 5,138
- 12,659
AsanteeKabisa kabisa karibu Tanga nikuandalie maji ya kuoga yenye viungo vya kutosha😜
Na ilo joto la Tanga mbona ntasahau mpaka nilpotoka 😋
AsanteeKabisa kabisa karibu Tanga nikuandalie maji ya kuoga yenye viungo vya kutosha😜
Hahahaha,nikuona Mkuu,niko eneo husikaGolden Foki....!😋😋
View attachment 3603131
Yaani huko wanawake wanajiona wazuri Wana tabia ya kudharau wengine mradi awe mweupe tu!!!!!Kumbe una asili ya kule, au nilionjeshwa asali maalumu nini 🤭
Sinza tunapaweza sisi 😀😀Ya sinza kuna fujo za magari + watu wengi ila huku kuna utulivu
Hahahaha,Niko pembeni karibu na mti,ukiwa unaingia hapoHua muongo muongo ww mkuu
Hahahaha 😂 🤣 njoo usiogopeSiku magari yatagongana 😀😀
HakunaaaHahahaha 😂 🤣 njoo usiogope
Hahahaha,Niko hapa kwenye kutoa hela ,kushoto kwakoPost eneo la mbele yako nione ulipo. Nataka nikukimbie
Hahahaha, unaogopa?Hakunaaa
Hapo parking?? Kwa huyo mdada wakala?Hahahaha,Niko hapa kwenye kutoa hela ,kushoto kwako
Hahahaha,usitoe code Zaidi,ila umepatiaHapo parking?? Kwa huyo mdada wakala?
😹😹😹 Naangalia pic yako hapa 😍Lamomy na Binti wa zamani ndio AI wangu, huwa wananichorea🤣
Hata mimi hua na aibu ila golden fok ya sinza haina wingi huo 😀Mm watu wengi sipendi aisee.... Ni kama station ya sgr dodoma ukiingia ukiwa unaenda sehemu za kukaa kila mtu anakuangalia. Afu watu wengiiii... Sirudii tena
Nipe tena 😹Wewe ndio una utani na mimi, haina part 2
We kuwezaHahahaha, unaogopa?
Ni kweli Mzee mwenzangu, huyo nimsemaye alikuwa mweupe na mrefu kama twiga ....just imagineYaani huko wanawake wanajiona wazuri Wana tabia ya kudharau wengine mradi awe mweupe tu!!!!!
Seems hujakaa sana kule, watu wana vitu vya kutoka gamboshiHii ya dawa ndio nasikia kwako kiukweli.
Weka mshape nione mahi 😹Hata mimi hua na aibu ila golden fok ya sinza haina wingi huo 😀
Hapo kwenye SGr kama mwezi hivi umepita nilikua hapo kulikua na msafara umepita so watu wote hakuna ku move tumerundikana sehemu moja
Aisee niliteseka nilimaliza mikao watu naona kama wananiangalia mimi tu heh
Hii nilijua hunikumba mimi tu kama leo ni weekend sijatoka njee kwanzia jana jioni
Kumbe na wewe unaogopaHahahaha,usitoe code Zaidi,ila umepatia
Vipi mshangazi upo?Nipe tena 😹