Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,994
- 13,311
English figureMzungu ni shapeless hadi sio poaa, afanye nimgawiee katako kanguu.
😂😂😂😂
English figureMzungu ni shapeless hadi sio poaa, afanye nimgawiee katako kanguu.
😂😂😂😂
Hakuna neno mkuuUkirudia ni tag kaka
Jamaniii IB mbona Ghaflaa sanaa? Kulikoniii??
😹😹😹 Kaka angu huyo bhana..!!Afu usiwasifie sana sasa
Panatema mkuu,milio inapatikana kwa siku hata gramu 20 na zaidiMkuu chanel zinaeleweka lakini ama bado hapajaanza kutema?
Ngoja nije tuyajengePanatema mkuu,milio inapatikana kwa siku hata gramu 20 na zaidi
Karibu MOYONI na HADHARANISijambo mkuu
😂😂😂😂 haswaaa.Hamna coca atakua kaona wewe miyeyusho kaniepusha dada ake..! 😹
Nikizuba nitaambulia patupu😹😹😹 Kaka angu huyo bhana..!!
Umeanza fujo baba tamu kakuachia sasa 😹😹Fa mchezo na ku glow?? 😂😂😂😂
Karibu sanaNgoja nije tuyajenge
😂😂😂😂 JF na msururuu ni km chupii na trakooo.Huwa wanakaa kimya ukianza tu kupendana hao wanakuja kukudai maex na chicks wapya wanajigonga..!! 😹
Kuna member nilikuwa namtania humu nikashangaa nimepata wake wenza wa kutosha mpk wengine wanajigonga piemuni wampe bure kunikomoa 😹
Nikabaki nashangaa imekuwaje mwanzo walikuwa wapi? 🙆♀️
Ile ya siku unajua mpk ikabidi tutete na coca kidogo ulijua kutunyoosha..!! 😹😹Ipi hiyo, acha bana hizo, we mwenyewe unajificha ficha
Coca we ni wa kunipigilia misumari?😂😂😂😂 haswaaa.
Ghafla ya nini?, kulikoni tena akati mi niko nanjilinjiJamaniii IB mbona Ghaflaa sanaa? Kulikoniii??
😂😂😂😂
😹😹😹Nimepitwaaa uduguuu Alooo? 😂😂😂😂
Rudiaa,
Ilikua bahati mbayaIle ya siku unajua mpk ikabidi tutete na coca kidogo ulijua kutunyoosha..!! 😹😹
Imekuaje tena mkuu🤣Karibu MOYONI na HADHARANI
Pole sana 😹😹Ko leo mie nimepitwaaa? 😢😢😢
Alikua wapi huyu binti sayuniPole sana 😹😹