cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,298
- 187,950
😂😂😂😂 nakuambia, afu ana makusudi huyu ni mvuvi haramu.Ile ya siku unajua mpk ikabidi tutete na coca kidogo ulijua kutunyoosha..!! 😹😹
😂😂😂😂 nakuambia, afu ana makusudi huyu ni mvuvi haramu.Ile ya siku unajua mpk ikabidi tutete na coca kidogo ulijua kutunyoosha..!! 😹😹
SanaaaKazuri haswaah
Lala ukue tu, 😂😂😂Dah uko off beat sana, au ndio nina usingizi
Kumbe mchawi wangu ni wewe? 😂😂😂😂😂 sasa je?
Embe bichi unakula na chumvi maana lina ukakasikwa kiswahili kizuri umemaanisha nini binti😂
😂😂😂😂Kumbe mchawi wangu ni wewe? 😂
Koleza moto..palilia makaa🚶🏿♂️➡️
oooh kwahiyo hapa embe ni nani na chumvi ni nani😎🤔 mi bado mgeniEmbe bichi unakula na chumvi maana lina ukakasi
Au kula ugali mkavu na dagaa nyama bila mchuzi
Aisee nitakuchapa aiseeoooh kwahiyo hapa embe ni nani na chumvi ni nani😎🤔 mi bado mgeni
Wanakupa hamasa ushushe lakoWana mighorofa wameinunua kkoo km ugomvi..!! Wananitia hasira 😹
nguvu za kiume zinaliwa? 😂We mbona ni mali safi tu ningejitosa sema sina kitu cha kukupa zaidi ya nguvu za kiume.
nooo hiyo ni typing error tu,, huyo kibabu bado yanki sitaki kumzeeshaAisee nitakuchapa aisee
Mugumu kuelewa we si umesema shem mpya ni mtoto so we mle hivyo hivyo tumia hata chumvii🤪
na tumejaa kweli sio mchezo😂😂😂😂Siku hizi hata vijijini kina win one wamejaaa.
Tokaaa🤣Hey Wajaa!!
Mtunza masijara wa JF, Ndio niko winja winja hapaa.
Mfanye kuweka hizo picha nilizopitwaa, ili ziwekewe kwenye hansard za Selfika.
😂😂😂😂
Kumbe kuna Hansard na hamsemi watu tunapita kavu tuu😃Hey Wajaa!!
Mtunza masijara wa JF, Ndio niko winja winja hapaa.
Mfanye kuweka hizo picha nilizopitwaa, ili ziwekewe kwenye hansard za Selfika.
😂😂😂😂
Umemaliza pages zote laki mbili mkuu😃😃😃Mbona uzi umejaa maneno selfie sizioni?
Mbona sisi tunazionaMbona uzi umejaa maneno selfie sizioni?
Ndo nimemalizia apa 🤠Umemaliza pages zote laki mbili mkuu😃😃😃