Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wakinga tumezidi kwenye pesa 😹
Confidence tunazo tumebarikiwa kokote tunazitumia..!!

Mkinga umkute china ndo utajua km mshamba au vipi?
Tuna brand zetu za tv na subwoofer halafu majina ya bidhaa tumeweka ya vijijini kwetu..!! 😹😹
Sikupingi 😃😃

Kutana na mapembelo Cargo😃😃😃
 
😂 Acha nisiseme kitu ila huwa nakuzoom sana unavyowajaza humu 😹

Jokes aside, anguko la mwanamke yoyote huwa ni kufikiri inabidi awe namna ambavyo wanaume wanasema au wanapenda kimatamanio. Ni a rate race, huwezi kushinda, hao hao wanaume unakuta wanakwambia rangi inamatter ameoa ambaye hana rangi, au kaoa ana rangi ya mtume ila wote anaocheat nao hawana hiyo rangi kwa sababu anasema ndiyo watamu.

Kuwa ambavyo upo, wapo wanaume wa kutosha watakaokupenda hivyo ulivyo.

Sikujua, hivi ni kweli ndiyo iko hivi? Acha baadaye nishushe uzi tuulize wanaume wa JF wanasemaje!

Hebu tupumzishe vyeusi mangala buana, tusije kuenda kujidabika carolight tukawa na rangi tatu tatu 😂

View attachment 3602205
Nimechekaaaaa Aloooo!!! Hadi Uzi tena mwanakwetuu.
Woiiiiih 😂😂😂😂
 
Hii sasa ndio nakeeeeed yenyewe 😍😍
Gentleman la mwaka wa mbele awww 🔥🔥
Kuna wakaka wazuri humu halafu hamringi mko smart..!!

Nikiunganisha na tabia zako wewe ni Barack Obama wa JF 😍😍

Msiache kutupia pic kali km hizi tupunguze visirani wadada jamani..!!

Hapa nitalala vizuri shem, coca mume kapata Igweeeeeeeeeeee 🫡
Afu usiwasifie sana sasa
 
Back
Top Bottom