Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

View attachment 3602221

Sikufikii wewe maji ya kwanza, niko nasubiri kichambo cha kukosa nuru πŸ˜‚ Coca kasema sisi vyeusi mangala ni machaguo ya pili huwa tunaonewa huruma tu πŸ˜‚πŸ˜‚

Kajukuu kangu, anzeni tu kuniita bibi πŸ˜‚
Ila BWZ Unanilisha maneno, nimesema chaguo la 2 kweliii?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Dhambi jamaniii
 
Mpuuzi yule mke wa Iyobo anaacha kuniface mwenyewe anajaza wengine maneno ya uongo 😹😹

Yeye apige battle na mimi ntu mbili na aseme anagombania nini kwanza..!
Hapo chachaaa, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
😍😍😍😍
Igweeeeeeeee
Una sura nzuri mashallah 🀩

Umeolewa? Namuulizia kaka yangu apate jiko hili chap..!!

Sema sura yako haiendani na maandishi yako. Sura ya upole maneno sasa 😹😹
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ napitwaa na vitu vizuriii mie, Aloooh.
 
Back
Top Bottom