Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 14,004
- 31,283
Ladies first๐๐๐๐๐ wee anzaa, afu mie nitafuatiaa.
After you my Lady ๐ฅ
Ladies first๐๐๐๐๐ wee anzaa, afu mie nitafuatiaa.
Waje kujionea Rangii za asili za kuzaliwa nazoo.Wake waje waache kujificha ๐น๐น
Wewee tenaa? Ukiwekaa mie chaapu.Ladies first๐๐
After you my Lady ๐ฅ
Pacha sijaona mwanaHaya haters mje mtoe comment ๐น๐น
Msisahau na dimple pia ninazo ila trako sasa ndo km hivyo mpk nijibinue..!! ๐น
Mashallah, daaah siyo kwa huo mzigo ๐ฅ๐ฅ๐ฅ mambo kwa ushahidi ๐Vigodoro vya nini mimi natamba na English figure yangu ๐น๐น๐น
Usichekee sasa, si uwekee ๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ nimecheka Wallah
Weusi wa nyoka et yaan mpka uuelezee dahUsichekee sasa, si uwekee ๐๐๐
Wee hujui kuna weusi wa kung'aa??
Mahii wee weka hiyo Dark skin, wala usiogopee atiii.Binti wa zamani mahi cocastic kakazana na rangi za mtume ananitoa kwenye mood ๐
Pita mama Starz basi nikuone jmosi yangu iwe burudaaa..!!Class mate!!! Mate!!! Nitapita tu na ntakuita.
Ila nitawaomba hawa genz wasinisasambue na huu uzee.
HakunaaaaMahii wee weka hiyo Dark skin, wala usiogopee atiii.
๐๐๐
๐๐๐ hapo sasa pagumuu mahi, alooo.Weusi wa nyoka et yaan mpka uuelezee dah
Hapo chachaa!! ๐๐๐Sina chuki na yoyote humu JF, nawapenda wote ila siku ile nilimind yule mjeda kumkashifu mzazi ambaye ndiyo amefariki hata kaburi halijakauka, kama mama sikupenda, ila yamepita hayo, tuachane nayo!
Ukikunja mtima humu mitandaoni utachizi mai!
Nasubiri kitu mie weekend yangu ichangamke!
Mpaka nitumie nguvu nachoka mimi nijielezeee woi๐๐๐ hapo sasa pagumuu mahi, alooo.
Huwezi kupinga namna hiyooo. ๐๐๐Hakunaaaa
Umeona eehh sisi marastaKwanza Wee BL, ila ninii, ila ninii, sema fresh sisi hatujuagi kukunja mtimaaa.
Mie nakuahidi, baadae mida flani ya utulivu ntakuwekea kituuu hapaa.
Sahivi niko winja winja sehemu, ๐๐๐๐
I can't wait, uzee gani tena na sie bado vibinti!Class mate!!! Mate!!! Nitapita tu na ntakuita.
Ila nitawaomba hawa genz wasinisasambue na huu uzee.
๐๐๐ ila weka hivyo hivyoo mahii, mwana lunyasi mwenzangu.Mpaka nitumie nguvu nachoka mimi nijielezeee woi
Swadaktaaaaa!!Umeona eehh sisi marasta
NomaHuwezi kupinga namna hiyooo. ๐๐๐