Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂 BL mie sio Mnaa.
😂 Acha nisiseme kitu ila huwa nakuzoom sana unavyowajaza humu 😹
Ukweli ni huu hata wanaume wenyewe wanasema, 1St priority ni RANGI, hii haina ubishi, ukikosa hiyo ndio vinafata sasa takoo, guu, hips etc.
Jokes aside, anguko la mwanamke yoyote huwa ni kufikiri inabidi awe namna ambavyo wanaume wanasema au wanapenda kimatamanio. Ni a rate race, huwezi kushinda, hao hao wanaume unakuta wanakwambia rangi inamatter ameoa ambaye hana rangi, au kaoa ana rangi ya mtume ila wote anaocheat nao hawana hiyo rangi kwa sababu anasema ndiyo watamu.

Kuwa ambavyo upo, wapo wanaume wa kutosha watakaokupenda hivyo ulivyo.
Ndio maana wenye Rangi ya mtume hawaangaliwi Tako wala shape,
Sikujua, hivi ni kweli ndiyo iko hivi? Acha baadaye nishushe uzi tuulize wanaume wa JF wanasemaje!
Vyeusi mangala ndio wanakutana na hizo shengeshaaaa.
jamaniii RANGIIIII, 😂😂😂😂
Hebu tupumzishe vyeusi mangala buana, tusije kuenda kujidabika carolight tukawa na rangi tatu tatu 😂

Oh Hell No What GIF by King of Boys (1).gif
 
😂 Acha nisiseme kitu ila huwa nakuzoom sana unavyowajaza humu 😹

Jokes aside, anguko la mwanamke yoyote huwa ni kufikiri inabidi awe namna ambavyo wanaume wanasema au wanapenda kimatamanio. Ni a rate race, huwezi kushinda, hao hao wanaume unakuta wanakwambia rangi inamatter ameoa ambaye hana rangi, au kaoa ana rangi ya mtume ila wote anaocheat nao hawana hiuyo rangi kwa sababu anasema ndiyo watamu.

Kuwa ambavyo upo, wapo wanaume wa kutosha watakaokupenda hivyo ulivyo.

Sikujua, hivi ni kweli ndiyo iko hivi? Acha baadaye nishushe uzi tuulize wanaume wa JF wanasemaje!

Hebu tupumzishe vyeusi mangala buana, tusije kuenda kujidabika carolight tukawa na rangi tatu tatu 😂

View attachment 3602205
Fireee🔥🔥🔥🔥
 
Back
Top Bottom