Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 3,549
- 7,619
😹😹😹 BaadaePacha fanya ka una dondosha part 2
😹😹😹 BaadaePacha fanya ka una dondosha part 2
Dah viva arsenal 🔥😹😹😹 Baadae
Nishapotezea ningetaka mbona ningewasha moto 😹😹Sema m cash out, nyie fanyeni TSR kuendelezaaa.
Tupia tunafunga machoKuonekana
Ngoja nitafute, zitakuwepo za zamaniTupia tunafunga macho
Rangi muhimu 😹😹😂😂😂 BL mie sio Mnaa.
Ukweli ni huu hata wanaume wenyewe wanasema, 1St priority ni RANGI, hii haina ubishi, ukikosa hiyo ndio vinafata sasa takoo, guu, hips etc.
Ndio maana wenye Rangi ya mtume hawaangaliwi Tako wala shape,
Vyeusi mangala ndio wanakutana na hizo shengeshaaaa.
jamaniii RANGIIIII, 😂😂😂😂
Hapana,, black n white tuUmetumia Al😂
Marasta tunasemaje "amani itawale" potezea hayo mambo ya maugomvi mai!Wala sio ile issue ya wale wake wenza. Wale wana mabifu yao ya mboo sisi tulikuwa tunachangamsha kijiwe. Sema kuna kidudu mtu. Unajua vizuri sema km umeamua kuzuga fresh..!!
Unamjua aliyekujaza chuki za kishamba ukaanza kudemka..!!
Nilichukulia ule ukaribu wetu wa TSR nikapotezea..!!
😹😹😹😹 Udugu niwaacheee..!!Kwani uongoo, Fa mchezo na Ku glow kwa Jiki na Dikompoza, mara paap mbagala kwa mbiku hii hapa, sio Rangi tatu tenaaa.
😂😂😂😂
Unafaidi mapicha weweKuonekana
Nimekutania tu! Pole kwa uzuri ulojaaliwaHapana,, black n white tu
Mbona unaanza kujihami? Wewe tupia ya zamani au ya sasa😂Ngoja nitafute, zitakuwepo za zamani
Rangi ni muhimu mno, anyway nisije ambiwa na Selikavu kuwa napenda nyeupe😂😂😂 BL mie sio Mnaa.
Ukweli ni huu hata wanaume wenyewe wanasema, 1St priority ni RANGI, hii haina ubishi, ukikosa hiyo ndio vinafata sasa takoo, guu, hips etc.
Ndio maana wenye Rangi ya mtume hawaangaliwi Tako wala shape,
Vyeusi mangala ndio wanakutana na hizo shengeshaaaa.
jamaniii RANGIIIII, 😂😂😂😂
Mama Starz kumbe ulitupia? 😥😂 Umenibamba
BL uko so msupuuuu, Hips na guu viko 🔥🔥
Halali Ba mjengo akeshe na wewe kila uchwaoo.
Noumaaa sanaaa!!!
Viva The Gunners 🔥Dah viva arsenal 🔥
Ukirudia wewe na mimi nitarudia 😹 😹Nimepitwa mwanakwetu nilikuwa na wateja naomba rudia puliizzz 😥
Rudia chap arsenal 🔥Viva The Gunners 🔥
Na nimekuita kabisa,,, next timeMama Starz kumbe ulitupia? 😥
Yani wateja wamefanya nimepitwa kizembe hivi 😹😹
Em rudieni wote niwape maua yenu..!!
Rudia nimepitwa alooHahahaha!!!!! Tuliza mshono mpaka nilewe ndo ntaweka li picha la kishangazi kaona bia