Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,131
- 33,900
Ila mie kwenye ile shengesha, nilichoka kumbe mtu na shost ake wanazungukana, shost akiwa chuga, chimamy anaenda GYM na mio,😹😹 Yule naye mchokozi yeye alipewa huduma gani na Mio?
Kwanza ndoa yake lini na CH wapambe tukapige vigelegele 😹
Nipo salama kabisa mkuu karibu utubariki sabato iende vyemaMie Niko poa kabisa,sijui wewe??
Wengine tulishawazika wanataka tuwafufue 😹😹😂😂😂 uduguuu, watu wanatafuta Vibe Selfika, na wanakuta vioo vimefungwa, kurudi wanashindwaa, wanabaki kuchokaa, watu hawageuzi kisogoo atii, ni mbele mbeleee.
😂😂😂
Nimeingia humu at the right time, classmate pita basi niburudike.Oooops! Nimechelewa
Hajalud tuu😃Baga na moyo.
Sina jipya.Nipo salama kabisa mkuu karibu utubariki sabato iende vyema
Tusi/Tausi mwenda pole asiyechosha kumtizama akiwa kwenye mwendo wa maringo.Jichagulie tusi braza kaka😃😃
It's a weekend wamama hawajaenda makazini.Hajalud tuu😃
😂😂😂 si ndiwooo!! Afu sisi kwetu ni shereheeee,, kila siku ni burudaniiiiiiii.Wengine tulishawazika wanataka tuwafufue 😹😹
Mi nachoka wanaogopa kuselfika eti tutaona 😹
Sa kwa pics gani za kutushtua maisha yao yenyewe 2-9 😹
Asipoharibu kwenye nguo basi bra mbovu..!!
Em wakakojoe walale woteee knyoko zaooo 😹😹
Naogopa macho ya watu sister 🫣Nimeingia humu at the right time, classmate pita basi niburudike.
ShesRise_1 tupe kitu, tuchangamke 😅
Watu gani buana, mbona humu tupo mimi na wewe tu 😂 😂Naogopa macho ya watu sister 🫣
Sema kweli dearWatu gani buana, mbona humu tupo mimi na wewe tu 😂 😂
Class mate!!! Mate!!! Nitapita tu na ntakuita.Nimeingia humu at the right time, classmate pita basi niburudike.
ShesRise_1 tupe kitu, tuchangamke 😅
Wewe mwanakwetu na ujanja wako wote unajazwa chuki za kishamba na wewe unademka..!!
Pitaa mwanakwetu, sijawahi kukufuma alooo.Class mate!!! Mate!!! Nitapita tu na ntakuita.
Ila nitawaomba hawa genz wasinisasambue na huu uzee.
Wallahy vile 😂 😂Sema kweli dear
Sawaa sawaa mkuu mchana mwemaSina jipya.