Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa huku ni wapi? [emoji81][emoji81][emoji81]
Nchi ina mbu mpk hospital huogopi? [emoji81]
Tena mbu wa hospital wana ukali hatariii, sijui harufu ya madawa yana wachachuaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tena mbu wa hospital wana ukali hatariii, sijui harufu ya madawa yana wachachuaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kwann?? 😹😹😹
Yani bongo kweli nyoso..!!
Hospital kuna mbu wana miba km sindano likikung’ata km ulienda kwa case ya typhoid unalazwa tena na case ya Malaria 😹😹😹
 
Ewaaaaah!! My [emoji3059].
Nimekamiss haka ka cute, kwani NN ndo haka ka kulala kwa Gari? Mbona km haka kadogo??
Hahaaa ndo hako! Ukipotezana naye mwezi mzima mkija kuonana mwenzio keshabadilika. Watoto huwa wanakua haraka sana.

Angles za picha nazo huwa zinabadili watu saa zingine.

Hii ni ya wiki iliyopita.

IMG_9751.jpeg
 
Hahaaa ndo hako! Ukipotezana naye mwezi mzima mkija kuonana mwenzio keshabadilika. Watoto huwa wanakua haraka sana.

Angles za picha nazo huwa zinabadili watu saa zingine.

Hii ni ya wiki iliyopita.

View attachment 3590377
Ewaaaah!! My [emoji3059][emoji3059]
Kasalimie sanaa, nakapendaga mnoo ka cute hakoo.
Umekuzaa Aloooh. [emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom