Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,408
- 102,432
Otena na masala, mashi minge shenji kabisaHiyo ushindo lako mwenyewe aiseee 😹😹😹
Otena na masala, mashi minge shenji kabisaHiyo ushindo lako mwenyewe aiseee 😹😹😹
Usikasirike basi lione..!! 😹😹Umeona kajibuje?, beside amesha nionyesha nyingi so tuliza ushindo gwako
Yap, wapo ila asili ya watu wa tabora Ina julikana.Kwenu Tabora? Huko si wasukuma wapo.
Wanyamwezi.Yap, wapo ila asili ya watu wa tabora Ina julikana.
Chunusi hawapo? 😹😹Utashangaa mbonaa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenyewe 😹Otena na masala, mashi minge shenji kabisa
Wanyamwezi ila wasukuma wapo. Ko wewe mnyamwezi?Yap, wapo ila asili ya watu wa tabora Ina julikana.
Story za abunuasi hizoo, khaaah.Chunusi hawapo? [emoji81][emoji81]
Bibi yangu aliwahi kunipa story eti akiwa binti aliwahi kukoswa na chunusi..!! Sijui alikua ananipanga?? [emoji81][emoji81][emoji81]
Huwa wakoje?, basi ndio kwetu babu alikuwa chief eneo fulaniWanyamwezi.
Nacheka kishenzi 😂Mwenyewe 😹
Usiulize we pigia mstariWanyamwezi ila wasukuma wapo. Ko wewe mnyamwezi?
Nilijua tu alikua ananipanga 😹😹😹Story za abunuasi hizoo, khaaah.
Chunusi hiyo kwiooo? Bibi ako nae heka heka nyingii eeeh??
Nitakuitaok najiseti nisije kosa
Sijajua kiundani kuhusu wao sana, ila nilio wafahamu mie, wako very loyal, humble,Huwa wakoje?, basi ndio kwetu babu alikuwa chief eneo fulani
Stori kidogo na picha.Nilijua tu alikua ananipanga 😹😹😹
Eti ziwani aliona chunusi yupo km mtu ila anakubeba anazama na wewe kwenye kina kirefu kisha anakunyonya damu yote..!!
Unakuja kuibuka baada ya wiki 😹😹
Bibi yako hapanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23]Nilijua tu alikua ananipanga [emoji81][emoji81][emoji81]
Eti ziwani aliona chunusi yupo km mtu ila anakubeba anazama na wewe kwenye kina kirefu kisha anakunyonya damu yote..!!
Unakuja kuibuka baada ya wiki [emoji81][emoji81]
Deal, don't let me drownNitakuita
Kwetu wengi ma chotara, kasoro sisi vidume kadhaa damu ya mzee ilikuwa kali.Sijajua kiundani kuhusu wao sana, ila nilio wafahamu mie, wako very loyal, humble,
Kuna m1 nilipanga nae nyumba 1, aseeh abarikiwe sana yule Dada, sahivi ni Mwalimu huko Same Kilimanjaro.
Afu alikua anaishi Low key, kumbee kwao mawe yako ya kutoshaa.
Aloooooh.
Handsome boy weka nyingine tuteseke..!!Stori kidogo na picha.
Tabora hadi Kahama, yess ni machotaraa sanaaa, si kuna waarabu kulee.Kwetu wengi ma chotara, kasoro sisi vidume kadhaa damu ya mzee ilikuwa kali.
Kawaida mawe sio kitu sana kule, utu kwanza.