Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tabora hadi Kahama, yess ni machotaraa sanaaa, si kuna waarabu kulee.
Tena Kahama utasema waarabu walizamia palee, vichotara koko vingiii mnooo.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Koko mwenyewe, tinde, nata, nzega huko nyeupe ni nyingi.

Napenda wakivaa abaya au baibui aisee ni 🔥
 
Bibi yako hapanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
Amevukaa level za Shigongo, lol
Lamata village 😹😹😹
Afu mbishi ukimwambia huo uongo..!!

Kuna siku niliweka clip naimba usiku WhatsApp nikakuta wa kwanza kuview ananichamba eti “Unamtega nani saa hizi? Utapewa mimba utelekezwe” 😹😹😹

Mpaka nikafuta jamani..!!
 
Lamata village [emoji81][emoji81][emoji81]
Afu mbishi ukimwambia huo uongo..!!

Kuna siku niliweka clip naimba usiku WhatsApp nikakuta wa kwanza kuview ananichamba eti “Unamtega nani saa hizi? Utapewa mimba utelekezwe” [emoji81][emoji81][emoji81]

Mpaka nikafuta jamani..!!
Bibi yako nimempendaa bureee wallah, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
She’s athletic also 😀😉.

IMG_9837.jpeg
 
Ambition sina la kusema 🙆‍♀️😍😍😍
Hii kutoka moyoni sijawahi kukutana na Gentleman JF km wewe 🥰🥰🥰

Yani wewe vitu vyangu kabisaaa dah! 😍😍😍

Wewe kaka nimekunyooshea mikono.
Nyie hivi mnaona ninachokiona??

Sis Joannah nimekamatika huku 😥
Nimechelewa kuona🥲🥲Vipi yeye sio kama Ngosha?😂😂
 
Back
Top Bottom