Chica Gee
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 3,355
- 9,433
😄hebu kwanzaIt's my turn, acha zako
😄hebu kwanzaIt's my turn, acha zako
Wekaa kwanii wee niliyopitwaa mda.Sikuwepo hebu weka sasa
[emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu dhambiii atiiii.Mihela gani hata changes hazionekani kwa masuria [emoji81][emoji81][emoji81]
Labda kwenye kusuguliwa hapo hatuwabishii coz tunakuwa hatupo..!!
Huyu tunafanana rangi sema mi niko uswekeni 😹😹😹
Watanii zangu wote afu, unyakini na ukingani. [emoji23][emoji23][emoji23]Kazi unayo [emoji2][emoji2]
Flood my eyes and heart with your amazing aura😄hebu kwanza
Nitumiee ya leoo nikuonee jamaniii AB, wallah vilee.Asiekuepo na lake halipo, afu we mi sina hata haja ya kukutumia picha mana ushaona picha zangu bila hata ukungu wala emoji usoni
Hilo jina la mto sasa 😹😹😹Maganga chumaaa, uduguuu nimekumbuka mto ruvuma, yako kibao, ko watu wakimaliza kuogolea wanaenda kujianika hapoo.
Uduguuu mie sitakiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona uswekeniiii uduguuuu, [emoji23][emoji23][emoji23]Huyu tunafanana rangi sema mi niko uswekeni [emoji81][emoji81][emoji81]
Li cute baby [emoji7][emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23] yaani, woiiiihHilo jina la mto sasa [emoji81][emoji81][emoji81]
Kuna siku watafurushwa na mamba ohhh!!
Uende wapi?Nyani Ngabu ole na kana kasoga sana, wish one day na mimi niibue duniani
Wait, now macho mengi sanaFlood my eyes and heart with your amazing aura
[emoji23][emoji23][emoji23]Uende wapi?
Weeh wa hapa hapa tupo wote na tozo bampa to bampa [emoji81][emoji81][emoji81]
Eehh ndiwooo 😹😹😹[emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu dhambiii atiiii.
Niibue means kuleta, ukiwa unavua samaki unasema nime ibuaUende wapi?
Weeh wa hapa hapa tupo wote na tozo bampa to bampa 😹😹😹
Haiombwi hivyo we Ngosha 😹😹😹Flood my eyes and heart with your amazing aura
Sasa huku ni wapi? 😹😹😹Mbona uswekeniiii uduguuuu, [emoji23][emoji23][emoji23]
![]()
![]()
![]()
Kuna siku alipost picha, afu ilikua naked, nikaiiba humu.
Nikawa nai angalia kwa gallery, najiseme nikiwa na huyu natangaza umma mzima ujue.![]()
![]()
![]()
Sijui nilibofya wapi picha ikafutikaa, aloooh
🍀🍀🍀
[emoji23][emoji23][emoji23]Eehh ndiwooo [emoji81][emoji81][emoji81]
ok najiseti nisije kosaWait, now macho mengi sana