Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hamna umalayer tu na njaa za kijinga..!! [emoji81][emoji81][emoji81]

Wanapewa shingapi haswa?

Siku nikifikia kugombania bwana JF naomba ukaniague nitakua nimerogwa sio bure..!! [emoji81][emoji81][emoji81]

Kuna muda najiuliza nachekaga sana..!!
Halafu watu wako serious hawatanii wanamgombea mtu khaaaa..!!
[emoji23][emoji23][emoji23] hujakamatwaa na mapedeshee wa humu weyeee.
Aloooooh utaacha ndala uduguu, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hujakamatwaa na mapedeshee wa humu weyeee.
Aloooooh utaacha ndala uduguu, [emoji23][emoji23][emoji23]
Mhmmm 😹😹😹
Kina sele na mtwasi mwenzie bakabaka??

Hakuna cha kuacha ndala bhana ni vile watu wako desparate sana humu..!!
Ko anaona ajichomeke sehemu bila kujua anajiongezea stress za kuja kurusha ngumi ya maneno..!!
 
Mhmmm [emoji81][emoji81][emoji81]
Kina sele na mtwasi mwenzie bakabaka??

Hakuna cha kuacha ndala bhana ni vile watu wako desparate sana humu..!!
Ko anaona ajichomeke sehemu bila kujua anajiongezea stress za kuja kurusha ngumi ya maneno..!!
[emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu mie sitakii ujuee.
Wenzakooo wanafaidiii mihelaa na utraaamuu, wee jibane banee.
Oooh.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] rangii haihitaji compliment ya traakooo, inajitosheleza yenyeweeeeee.
Inajisimamiaaa haswaaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
Traco liendane na umanga umanga sio jeusi tii yanakua km mawe ya mtoni..!! 😹😹😹
 
[emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu mie sitakii ujuee.
Wenzakooo wanafaidiii mihelaa na utraaamuu, wee jibane banee.
Oooh.
Mihela gani hata changes hazionekani kwa masuria 😹😹😹

Labda kwenye kusuguliwa hapo hatuwabishii coz tunakuwa hatupo..!!
 
IMG_9870.jpeg
 
Boss AYnay em niwekee huo uchebee niliopitwaa plz.

NYC boy Ambition plus naomba niwekee hiyo naked,
Maana nimehisi unyonge kupitiwa na vitu hivyo adhimuuu.

[emoji22][emoji22][emoji22]
Asiekuepo na lake halipo, afu we mi sina hata haja ya kukutumia picha mana ushaona picha zangu bila hata ukungu wala emoji usoni
 
Traco liendane na umanga umanga sio jeusi tii yanakua km mawe ya mtoni..!! [emoji81][emoji81][emoji81]
Maganga chumaaa, uduguuu nimekumbuka mto ruvuma, yako kibao, ko watu wakimaliza kuogolea wanaenda kujianika hapoo.

Uduguuu mie sitakiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom