Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,283
- 108,292
Sawa August girl...tena siyo miaka miwili tu bali nilikuwa nina miaka miwili miezi miwili na siku mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa August girl...tena siyo miaka miwili tu bali nilikuwa nina miaka miwili miezi miwili na siku mbili
@Watu8 ni shemeji yako?



Oohh dooh ndiyo iko mkoa gani hiyo??
Hahaha...Nakwamia hapo kwenye pension mkwe.
Kwahiyo ukaenda kupanda tule tugari watu wanasongamana kama punye za mahindi![]()
Khaaaaah!!Mkwe kibodi yako inateleza ama...unaweza ukataja vitu vya sirini hivi hivi



Acha tu tumebanana hadi nikaamua niweke backpack yangu kwenye makalio; mambo ya kubanana na njemba nyuma ya makalio yangu mmmmmhKwahiyo ukaenda kupanda tule tugari watu wanasongamana kama punje za mahindi![]()
Hahahaaa!!!hahahaha!!mweWeka tu usijali wote humu waganga wa kienyeji, walozi na washirikina
Sent using Jamii Forums mobile app
Alhamdulillah, tu-bukheri wa afya


Acha tu tumebanana hadi nikaamua niweke backpack yangu kwenye makalio; mambo ya kubanana na njemba nyuma ya makalio yangu mmmmmh
Hahhaa unanicheka.







Kwahiyo ukaenda kupanda tule tugari watu wanasongamana kama punje za mahindi![]()



mambo ni mob brodah,, kama kitu tunaweza elimishana humu tuelimishane tu.. lakini pia kuna wasomi zaidi yangu humu
Dogo do yo homework...we msomi ujue tunakutegemea humu ndani
Hahah najaribu tu kufikiria vile unajikunyata na kujibanza...anyway pole sanaHahhaa unanicheka.
Hivi unajua mi sio mpenzi wa kuandika andika sanamambo ni mob brodah,, kama kitu tunaweza elimishana humu tuelimishane tu.. lakini pia kuna wasomi zaidi yangu humu










Mkwe kibodi yako inateleza ama...unaweza ukataja vitu vya sirini hivi hivi
Ahsante; ndo hekaheka za mji wa wenyewe. Kwa kweli me yale mambo gari imetikisika kidogo, mtu anakuja kuweka kituo makalioni kwangu siyatakiHahah najaribu tu kufikiria vile unajikunyata na kujibanza...anyway pole sana