Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,787
- 12,059
Eeh mkuu siti yangu ipo karibu na siti ya Georgina 😂🙌Game ndo ipo mida hii??
Eeh mkuu siti yangu ipo karibu na siti ya Georgina 😂🙌Game ndo ipo mida hii??
Rudia bhana niote ndoto nzuri. 😹😹Uduguu una nini wee lakinii??![]()
Msalimie mej😂Nitarudi ila huenda isiwe humu 😂🙌
Muache shemeji yako, hiko kitambi cha kufutia simu bhana 😹😹😹Punguza tambi wee shem, Lol![]()
Ntakupasua unamcheka shem wako 😹😹😹
Ahsantee sanaa!!Mambo mtoto mzuri
Karibu dodoma, ule kuku wa kienyeji


Kheri yako wee umtumie mpodido huku hati ukiwa nayo mkononii.Namsifia shemejio jamani coca.
Ana plot yao ya urithi vikunai basi nambembeleza anaringa huyo..!!
Namwambia anipe hati nimtumie mpodido pm ananizungusha![]()



Wewe mbona unakula pesa za watu hata siwajui khaaa..!!
Hivi gwapole mafwele aliishia wapi?
Na unavyowajazaga sasa “Usijali dada utampata” kuna siku utatekwa wewe shauri yako..!!![]()


jamaniii nifanyejee sasa? Wao wanakutakaa bintii? Mie niache helaa, aaah.


IlaMuache shemeji yako, hiko kitambi cha kufutia simu bhana![]()
ya Shem nimeikubaliii, iko so 


Rudia bhana niote ndoto nzuri.
Em njoo WhatsApp kwan nikuchekeshe..!!


seriousss!! Njoo kule unipe huo ubuyuu.😹😹😹😹 Weeh mi mkinga situmi mpodido bila hati hapa..!!Kheri yako wee umtumie mpodido huku hati ukiwa nayo mkononii.
Sio buree buree, sitakuelewaaa,![]()
😹😹😹 Mi uduguu wako wa faida, kumbe ulilamba 50k lol!jamaniii nifanyejee sasa? Wao wanakutakaa bintii? Mie niache helaa, aaah.
Gwapole alituma tena 50k, ili nimpe no ako, nikampa ya gari, mara alalamike,
Sijui ananilia timing, naogopaaa!!![]()
Wahi sasa 😹😹seriousss!! Njoo kule unipe huo ubuyuu.
😹😹😹 Shem unaye wewe subiri muda wa kwenda kuweka beacon kwenye plot yetu..!!Shem ninae na ninatamba nae.![]()
Kabisaa 😂😂😂Edo wa 2012 udugu 😹😹😹
Aririiiiiiiiiiiii!!! Hati tunayo na tunatamba nayo.😹😹😹 Shem unaye wewe subiri muda wa kwenda kuweka beacon kwenye plot yetu..!!
😂😂😂 nilikula jumla 70k, ila JF, watu wako serious na mipodido. Lol😹😹😹 Mi uduguu wako wa faida, kumbe ulilamba 50k lol!
Ulimpa no haiiti jamani!! 😹😹
Wewe utatekwa kuna siku.
Mwenzio alishajua anaenda kujilia toto la kikinga kiulaini..!! 😹