Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji81][emoji81][emoji81] Namsifia shemejio jamani coca.
Ana plot yao ya urithi vikunai basi nambembeleza anaringa huyo..!!

Namwambia anipe hati nimtumie mpodido pm ananizungusha [emoji1787][emoji81][emoji81]
Kheri yako wee umtumie mpodido huku hati ukiwa nayo mkononii.
Sio buree buree, sitakuelewaaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji81][emoji81][emoji81] Wewe mbona unakula pesa za watu hata siwajui khaaa..!!

Hivi gwapole mafwele aliishia wapi?
Na unavyowajazaga sasa “Usijali dada utampata” kuna siku utatekwa wewe shauri yako..!! [emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii nifanyejee sasa? Wao wanakutakaa bintii? Mie niache helaa, aaah.

Gwapole alituma tena 50k, ili nimpe no ako, nikampa ya gari, mara alalamike,
Sijui ananilia timing, naogopaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kheri yako wee umtumie mpodido huku hati ukiwa nayo mkononii.
Sio buree buree, sitakuelewaaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
😹😹😹😹 Weeh mi mkinga situmi mpodido bila hati hapa..!!

Hizo shughuli za Community 🐈 nawaachia wake wenza wa mjeda..!! 😹

Uduguuu nacheka km chizi hapa mambo ya mpodido. Ila kuna viumbe majasiri hivi pm nguvu unazikuta wapi kuweka zaga lako?

Ndiomana server zina stuck sometimes 😹
 
[emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii nifanyejee sasa? Wao wanakutakaa bintii? Mie niache helaa, aaah.

Gwapole alituma tena 50k, ili nimpe no ako, nikampa ya gari, mara alalamike,
Sijui ananilia timing, naogopaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23]
😹😹😹 Mi uduguu wako wa faida, kumbe ulilamba 50k lol!

Ulimpa no haiiti jamani!! 😹😹
Wewe utatekwa kuna siku.
Mwenzio alishajua anaenda kujilia toto la kikinga kiulaini..!! 😹
 
😹😹😹 Mi uduguu wako wa faida, kumbe ulilamba 50k lol!

Ulimpa no haiiti jamani!! 😹😹
Wewe utatekwa kuna siku.
Mwenzio alishajua anaenda kujilia toto la kikinga kiulaini..!! 😹
😂😂😂 nilikula jumla 70k, ila JF, watu wako serious na mipodido. Lol
 
Back
Top Bottom