Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23] utakufa mdomo wazi wee. Lol
😹😹😹 Namsifia shemejio jamani coca.
Ana plot yao ya urithi vikunai basi nambembeleza anaringa huyo..!!

Namwambia anipe hati nimtumie mpodido pm ananizungusha 🤣😹😹
 
Mkuu unatumia ndege zisizo na rubani kulipua anga 😂

Nitakuja na comeback ya nuclear 😂🙌
1000149686.png
kuna ukaicheki nayo😂🙌🏾
Sitaki kukuelewa
 
Flashback kidogo.. Dedication kwa vijana wa zamani
 
Khaaah!! [emoji23][emoji23][emoji23]
😹😹😹 Wewe mbona unakula pesa za watu hata siwajui khaaa..!!

Hivi gwapole mafwele aliishia wapi?
Na unavyowajazaga sasa “Usijali dada utampata” kuna siku utatekwa wewe shauri yako..!! 😹😹😹
 
Back
Top Bottom