cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,173
Haswaaa yani dada
Maisha mafupi sana jamani. Tujiachie tukiweza
Maisha mafupi sana jamani. Tujiachie tukiweza
Hapo umeshashiba kitimoto hakuna tena wa kukuambia kitu!



JF imeanza miaka 13 iliyopita...now tell me kwa walioanza na JamboForums huyu mwenye ako na 20yrs sasa, back then alikuwa ako na miaka mingapi...
Do the math, halafu sema kwa nini asiitwe mtoto
Duuuh unanitamanisha mwenzioTulichinja then... View attachment 1287993
Woyooooooooooo home kabisaaaaaa
Pa1Sawa
Aaaah mshua tu aliamua kuogopa status yake, si unajuwa wanadamu bhana wanaweza judge mwana Ana status afu dingi anagema ulanzi inakuwa jauHahahaha, asee ,safi sana,kwann sasa alimpiga stop ?
13+8=21, am I dreaming? Nimeacha utani rasmi!!Key Words "back then",, lol mie nilikuwa na miaka 8 na nusu.. basi yaishe![]()

Me 6Key Words "back then",, lol mie nilikuwa na miaka 8 na nusu.. basi yaishe![]()
Mtukaribishe wajukuu zenu tu hakuna namna13+8=21, am I dreaming? Nimeacha utani rasmi!!![]()
Wewe hii kitu ina uzi wake
Hahah...okayLol
Lol
Lol
Kuna rafiki yangu ananiitaga dada ake Rotimi.
My Rotimi yuko mbali sana.
Key Words "back then",, lol mie nilikuwa na miaka 8 na nusu.. basi yaishe![]()
Hahah...mzee baba unaweza pata hapa unaita wanao "mkwe" au "mke"...hatarious13+8=21, am I dreaming? Nimeacha utani rasmi!!![]()
13+8=21, am I dreaming? Nimeacha utani rasmi!!![]()
Duuh pole Sana mdau mungu akusaidie upone salama
Pole jamani