Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Leo nimekoswa koswa na Israel..ajali ya pikipiki sio POA..
IMG_20191210_084630_1.jpeg
IMG_20191210_084718_8.jpeg
 
Hata wewe mtoto mdogo wangu
woii hivi kwanini under 25 tunaonekana watoto huku JF?? Wakati wengine kila tukifokewa utasikia "muone kule mama mzima unalala hadi saa hii ungekuwa kijijini umri huo umeshaolewa na una watoto wanne" halafu unaingia huku JF unakuta mtu anakuita "toto" (nimebana pua ) khaa!!

by the way waliozaliwa kuanzia mwaka 2000 na kuendelea ndiyo angalau tunaweza tukawaita watoto
 
woii hivi kwanini under 25 tunaonekana watoto huku JF?? Wakati wengine kila tukifokewa utasikia "muone kule mama mzima unalala hadi saa hii ungekuwa kijijini umri huo umeshaolewa na una watoto wanne" halafu unaingia huku JF unakuta mtu anakuita "toto" (nimebana pua ) khaa!!

by the way waliozaliwa kuanzia mwaka 2000 na kuendelea ndiyo angalau tunaweza tukawaita watoto
Hahaha me hata 20 sijafika bado Ila home wananitreAt kikubwa Sana huko kijijini
 
Back
Top Bottom