win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 8,839
- 29,990
kwanini sasa😆😆😆 hebu nipe sababu moya tuone kama ina mashikoBi mzuri mie si selfiki kama ni hivyo😀
kwanini sasa😆😆😆 hebu nipe sababu moya tuone kama ina mashikoBi mzuri mie si selfiki kama ni hivyo😀
Hakunaaa kwann wewe sio kibonge😏kwanini sasa😆😆😆 hebu nipe sababu moya tuone kama ina mashiko
😆 we nipo hivyo hivyo buaaanHahaha kwetu wote makapuku mama hutaweza! Elfu 15 kibunda chote hicho? Tambara langu elfu 3 tu🤣
senki yuu ila sivutii kiasi hicho kama unavyo nipamba love😆U look amazing mama! Kishepu tu🫠
Natoaje hili ngano langu niwe flat hivi🥹
🤣🤣🤣jmn hii haina alcoholTumekupoteza mama mchunga!🫢
Hebu tuonje😅🤣🤣🤣jmn hii haina alcohol
Tulia mtt mzuri🤣🤣Hebu tuonje😅
Mimi ni church girl ila haimaanishi
Mtu atoke huko kisakoni na aje
Anipande kicwani Big No
Mtu akija kunichokoza ajue mi mpole mnooo tena sana ila akumbuke siruhusu kupandwa kicwani 🤝
NB : Kuna uoga
kuna kutokua mgomvi
Hivi ni vitu viwili tofauti👍
Sisi ni wale watoto wazazi wako walikuonya & kukukanya usicheze na sisi
Na ninavyo penda kucheka😀,hujaacha uchokozi tu kwenye uzi wa selfika😁Tuko wote kkoo ila hatujuani wii 😹😹
Ukiniona utashinda siku nzima unacheka..
[emoji23][emoji23][emoji23]Usiyempenda kaja, ita kirikuu, ita kibajaji hamisheni viragooooooo..!! [emoji2222][emoji81][emoji81][emoji81]
Mamaeeee haishi mpk iisheee..!!
Fake P tafuta uwanja mpya then nitag huku si wamekuwangia..!! Wapelekee moto kwingine [emoji1787][emoji81][emoji81]
Halafu mke mwenzio anajitapa naye anazo pic za nonino zako ulimtumia CH kasema ukimwaga mboga anamwaga ugali.. watu weeeuweeeeee..!!
Btw kabla sijasahau kuna mtu nimeona kaselfika na top ya buku 3 karume nakupa hi [emoji81][emoji81][emoji81] Mashauzi yaendane na kipato jamani..!!
Sawa sis ngoja nisubiri nione. kwa 1st na 2nd born nilibaki namwili wangu uleule huyu sasa🙄!Ccy kwa sasa subiri subiri kwanza ukiacha kunyonyesha manyonyo yataisha, ila kuhusu tumbo tangawiz na limao kila siku usiku iwe ya moto, na tamarind juice asubuhi kabla ujakula kitu. Mazoez ni magumu ccy
Naangalia kuku wanvyo chokoa chokoa mchele kwenye ardhi.. bona wanakaonea hako katoto Depal.. ila jf ila makulumbembe aiseee.. Msishindane kwenye maisha na watu waliopoteza thamani ya utu wao .Dogo vipi Blockchain mbona unatoa macho? Kuna kende lako limepotea?