Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 28,668
- 83,469
Hakuna anayeshindana na mpumbavu! Tunawaonesha kuwa hakuna anayewaogopa kama wanavyojigamba humu! Huo udhaifu sijajaaliwa! Mshipa wa woga nilikatwa kitambo sana! Siangalii unalinganaje aisee! Nyie mnaojiheshimu mtupishe kidogo tusio na heshima!😈Naangalia kuku wanvyo chokoa chokoa mchele kwenye ardhi.. bona wanakaonea hako katoto Depal.. ila jf ila makulumbembe aiseee.. Msishindane kwenye maisha na watu waliopoteza thamani ya utu wao .