Ndio, nikizipunguza sana naambiwa nna kichwa kidogo alafu kibaya 😁Kichwa kidogo tena 😀
NilishajibiwaHata mimi sielewi
Wana hila tu mbona kipo vizuri tu hapoNdio, nikizipunguza sana naambiwa nna kichwa kidogo alafu kibaya 😁
Fungua basi pmMwenzangu soma tu uambulie chochote nataka kugeuziwa kibao na wenye waume zao sasa😁
Usijali ngoja niishie zangu 🚶♀️Sawa ukipita tena utanishtua nisikose 😃
DoneFungua basi pm
MTINDI huo ni hatari mkuu.Mimi karangi kako tu! Ningekuja ila majukumu yananiua😩
naomba kazi ya kusafisha hata hiyo meza ya ofisini kwenu😎Mimi karangi kako tu! Ningekuja ila majukumu yananiua😩View attachment 3579034
Oooh my ghash .saloon za huku kijijin kwetu hazina umbea kabisa nimekaa nusu saa nzima nasubiri zamu yangu watu wapo kimy tu,, ShesRise_1 Seran mje mnisaidie kumalizia mikia basi😅😅
Jicho la kiume lina X-ray mkuu.ila mshamba, mbona mi sijaona mtindi hapo au ukionaga picha ya Seran akili ya mtindi ndo inaload?
sawa hongera sana😅😅Jicho la kiume lina X-ray mkuu.
Upo vizuri, huna haja...
Ccy kwa sasa subiri subiri kwanza ukiacha kunyonyesha manyonyo yataisha, ila kuhusu tumbo tangawiz na limao kila siku usiku iwe ya moto, na tamarind juice asubuhi kabla ujakula kitu. Mazoez ni magumu ccy
Mdogo wangu mzurii😍saloon za huku kijijin kwetu hazina umbea kabisa nimekaa nusu saa nzima nasubiri zamu yangu watu wapo kimy tu,, ShesRise_1 Seran mje mnisaidie kumalizia mikia basi😅😅
Mom🥰Mimi karangi kako tu! Ningekuja ila majukumu yananiua😩View attachment 3579034