Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

woii hivi kwanini under 25 tunaonekana watoto huku JF?? Wakati wengine kila tukifokewa utasikia "muone kule mama mzima unalala hadi saa hii ungekuwa kijijini umri huo umeshaolewa na una watoto wanne" halafu unaingia huku JF unakuta mtu anakuita "toto" (nimebana pua ) khaa!!

by the way waliozaliwa kuanzia mwaka 2000 na kuendelea ndiyo angalau tunaweza tukawaita watoto
Mi mdada jamani. Watoto naongelea hawa wa 25 kushuka chini
 
woii hivi kwanini under 25 tunaonekana watoto huku JF?? Wakati wengine kila tukifokewa utasikia "muone kule mama mzima unalala hadi saa hii ungekuwa kijijini umri huo umeshaolewa na una watoto wanne" halafu unaingia huku JF unakuta mtu anakuita "toto" (nimebana pua ) khaa!!

by the way waliozaliwa kuanzia mwaka 2000 na kuendelea ndiyo angalau tunaweza tukawaita watoto
Watoto bwana!!
 
.
FB_IMG_1573146336203.jpeg
 
Back
Top Bottom