Jogoo wa Shamba II
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 3,393
- 6,562
Bora ungeshika na karatasi au nguo halafu hilo jiko la gesi mfano likilipuka moto wote unakimbia kwenye naniii.nakaza tu ukiiva ntailoeka kwa maji
Haya tena!!!Kijana wa kimwendokasiView attachment 1287607
Nitongoze tu tena nikukamate.



ningefedheheka sana halafu ungenichora tu. Siku nyingine ukimove uniambie bwana, sema mwandiko huwa haubadiliki sijui kwa nini...Nasikia pale huwa hapaungui""Bora ungeshika na karatasi au nguo halafu hilo jiko la gesi mfano likilipuka moto wote unakimbia kwenye naniii.


kuna mafuta mengHahahaaa kaka weeTupia basi uutabaruku
Wewe jamaa hebu fanya mpango tukutane siku tulipe kodi. Alafu namba yako sijui nilipotezea wapi.
Hahaha wanapatikana darTobaaa asalaleee balaa zito hili
hapana
3nasikia na wa JF wamo!
![]()
Hahah haina shida mkwe...mimi tu mimi tu kuelewesha wewe inapobidiKumbe lugha gongana
Basi ndio maana sikukuelewa.

Mchana na uwe mwema kwenu wakuuView attachment 1287563
Ndani ya mjengo wako mamaNawasalimuuuuuuuView attachment 1287676
Ni kweli hakikaHahaha wanapatikana dar
Hapo pembeni nyama choma huku nikishushia nyagi