Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi ni miongoni mwa wavivu wa kuandika....hata shuleni nilikuwa naandika mara chache sana

Niandikie watu ubaoni mwalimu anakuwa nafanya nini?😂😂
Yani nimfanyie kazi yake?
Hongera umesoma shule za walimu wanajua majukumu yao mimi nimeandika sana ubaoni ilibidi nikatae uwongozi wa darasa kuepuka usumbufu wa kuandika ubaoni.
 
Back
Top Bottom