Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,777
Aisee huu ndo mwanzo wa kuanza ku-fall kwa mwandiko sasa❤️
Aisee huu ndo mwanzo wa kuanza ku-fall kwa mwandiko sasa❤️
Hapo mkuu nikitulia sitaki mawasilisno na mtu yoyote, simu na Internet nazima hata kama kuna msiba sitaki kujua mpaka holiday itakapoisha.Lake chalaView attachment 1286067
Aisee huu ndo mwanzo wa kuanza ku-fall kwa mwandiko sasa❤
Iko wapi mpendwa hiyo picha.
AiseeMamaaaeee huyu hata kama ni singo maza me nafumba macho tu napita naee
Hilo group limetokana na jf?Out of topic... Nimesoma mahali hapa JF kwamba huko kwingine kuna groups za WhatsApp maarufu sana.. Na mojawapo linaitwa The Vault... Nasikia hili ni noma kwa mambo ya kikubwa



Aisee aliyechorwa ana macho ya kutia huruma ni nani au ni imagination tu.



nasikia na wa JF wamo!
Hilo group limetokana na jf?
Nikiri tu kuwa huu uzi wako umenihamasisha sema tu ndio hivyo tena, hawa ndugu zangu ma-bachelor wasipoufanyia kazi huu uzi basi tena, there's no other way to help them.
Kuna wadada kwa "mwandiko na muonekano" tu una-fall kizembe tu na kama ni kujuta si baadae huko!!![]()
Maandishi ni picha Joanah kifupi tuna ku remove leo humu kwenye uzi hauko serious na uzi.Loh!hujaona picha?😂
Ukiwa bachela inabidi uwe na kochi moja tu, kuepuka wageni wasio na address
bachelor sugu watoto wako shule.. Mama zao wako kwao
![]()





HahahahaMzee hii size 16+
Si ndio nashangaa unanifanyiaje mambo meusi hiviYaani mkwe ndio wa kunibinjulia midomo hivyo...unajua hatujakutana barabarani mkwe


