Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂😂😂 uduguu usinijazee, ila nini nimekosa umbo mie kwa kweli. Vinginevyo ningekimbiza qumamake.

Kuna siku nilimuona mtu, sidhani km ni kidampa yule, sikunote kitu, ila jinsi alivyo, unajua ana hips? Afu tako kwa mbalii, alivaa modo ya kitambaa, na shati la 4m 6, chini kapiga sandols.

Nilijisemea, "jamani si ningepewa lile umbo mie niwape heka heka waja"
😂😂😂😂😂😂
mjini Wana ringia nyota!

Unaweza ukawa na chura nyuma safi ila bahati huna.
 
😍😍😍 Ila maka lizurii khaaa..!!
Hivi hawakuwa wanakung’ang’ania mademu??

Hapo ungekuwa shule yetu ni mwendo wa ngumi kila siku kukugombania. Na ulivyo muhuni sasa bangi nyingi awwww 🥰🥰🥰

Atoto ana haki adate ba mtu umenyooka..!!
Maneno yako hayaendani na muonekano wako kabisaaa..!!
Mweeh! Mbona mimi sijaona picha jamani. Kumbe ni mhandsome🙆‍♂️

makaveli10 naomba picha nami nione.
 
😹😹😹😹🤣🤣
Woyoooooooo.!! Umeona sasa unatakiwa ukubaliane na macho yangu..!!

Wewe siku hizi shape inanunuliwa, paa pipa ukaji Jennifer Lopez unafeli wapi??

We hushangai siku hizi town kila mtu yupo km Nick Minaj? 😹😹
Chana wallet udugu kila kitu kinapambaniwa..!!
😂😂😂😂😂
 
😹😹😹 Ukitua unifate na dadaako, kwanza nikuulize kule wanaume wa kibongo wana vibibi vyao vya kizungu, kwahiyo na mimi inatakiwa niwe na kibabu cha kizungu? 😹

Em kwanza nieleweshe mi ninavyoogopa zile rangi si ntazimia jamani..!! 😥
Tena wale wazungu wenyewe asilia wanavyotisha lol..!! 😹
😂😂😂😂
Mie hata mwanaume mweupe race tofauti na ya huko mamtoni, simtakii, sijui naonaje? Binafsi namuona km mwenzangu tyuuh, watanisamehe.

Sasa nikikaa na brooh na dogo, huwa nawaulizaga hivi wachumba zenu wanawapendea nn? Sijui hata bangi ya wapi natumia.
😂😂😂😂😂😂
 
Usiwazeeee I will take you to turk or some where for surgery and I will pay bill, am serious ukiniona Mimi around usiwaze kabisa tasimamia hizo gharama untill you be the best and looks how you wish to be , Dunia ya Leo umbo case ndogo sana inatatuliwa kwa siku tu


Fullstop, kwishaaaaaa
Wachaa wee!! 😂😂😂😂😂
 
Ila kweliii!! Nyota na bahati ninayoo.
😂😂😂😂😂
Wachaa wee!! 😂😂😂😂😂
coc Huwa nahisi Kuna mtu hum unae kimahusiano ndo mana Kuna muda naamua kukupotezea, Kuna wengine hatunaga moyo wa uvumilivu coc, niambie nafac yang kwako, chapchap basi USIJE nifuma NAPIGA sound mtu hum coc pliz🙏♥️♥️🥀



Fullstop, kwishaaaaa
 
Back
Top Bottom