Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,505
- 8,713
hahaha! Kitu ambacho sikiwezi ni kukudanganya!We unaanza kuwa Katuga unachomoa karatasi 😹😹
Hii kesi nakupa wakili akutetee unaanza uongo..!!
Naanzia wapi
hahaha! Kitu ambacho sikiwezi ni kukudanganya!We unaanza kuwa Katuga unachomoa karatasi 😹😹
Hii kesi nakupa wakili akutetee unaanza uongo..!!
Nyie Gen z ndio tunawategemea muikomboe nchi hii!Yaan mie ndo nachoka, muhimu nitue kwa tirampu, mengine yatajiseti huko huko.
Siwezi kuhangaika na uchumi uko chini ya kiuno changu.
😂😂😂😂😂😂
Trump tena duh!📌 nikisahau waungwana mnikumbushe. min -me nikumbushe march nna jambo langu kutoka kwa Trump 😹
Itakuwa mbaya na hivi mwenyewe kashafariki..!! Hata wasanii wale wa kuburudisha km kipindi kile hawapo..!!Siku hizi sijui kama pako moto, Na wale wahindi wahindi sijui kama bado wapo.
Nasemaje nakupatia wakili wa jamhuri akutetee hii kesi peke yako hutoboi chino 😹hahaha! Kitu ambacho sikiwezi ni kukudanganya!
Naanzia wapi
Kazi nzuri, si unajua mi msahulifu..!! 😊😊😊 usijali naandika kabisa hapa kwenye kitabu cha kumbukumbu zangu
Nataka kukimbia deni la taifa usiogope kiongozi 😊Trump tena duh!
Nasikomi; Bado nang'ang'ania watu wenye ndalama.Nasemaje nakupatia wakili wa jamhuri akutetee hii kesi peke yako hutoboi chino 😹
Mambo mengi ndio maana 😆Kazi nzuri, si unajua mi msahulifu..!! 😊
Ndalama zipi tena?Nasikomi; Bado nang'ang'ania watu wenye ndalama.
Noma sana
😹😹😹 Halafu hii week nitapoteaMambo mengi ndio maana 😆
Sisi tupo tu , tunalinda siti yako😊😹😹😹 Halafu hii week nitapotea
Kuna mmoja alinichekesha humu.Noma sana
Hahahaha hi stori umenikumbusha mbali sana😅😅😅Kuna mmoja alinichekesha humu.
Eti, “Baridi la Mbeya unapiga dog style huku umejifunika shuka” nilicheka 😹😹😹
Gen z wabongo mnafeli wapi?Ndalama zipi tena?
Mi mwenyewe na force nikimbie deni la taifa 😹😹😹
Wapi?Hahahaha hi stori umenikumbusha mbali sana😅😅😅