Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nitakuita na maanishašŸ˜…
Tunaorodheshwa sijui ili iweje
Nimegongewa eti tunaandikishwa kaya zote kwa ajili ya utafiti wa kilimo, nimewaambia mimi sio mkulima ila wameng'ang'ania nimewatajia jina na namba ya simu ya uongo
 
Tunaorodheshwa sijui ili iweje
Nimegongewa eti tunaandikishwa kaya zote kwa ajili ya utafiti wa kilimo, nimewaambia mimi sio mkulima ila wameng'ang'ania nimewatajia jina na namba ya simu ya uongo
Hahahhaah andika jina la ukweli ukute mnagaiwa pesa je🤣
 
Back
Top Bottom