Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ uduguu usinijazee, ila nini nimekosa umbo mie kwa kweli. Vinginevyo ningekimbiza qumamake.

Kuna siku nilimuona mtu, sidhani km ni kidampa yule, sikunote kitu, ila jinsi alivyo, unajua ana hips? Afu tako kwa mbalii, alivaa modo ya kitambaa, na shati la 4m 6, chini kapiga sandols.

Nilijisemea, "jamani si ningepewa lile umbo mie niwape heka heka waja"
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
mjini Wana ringia nyota!

Unaweza ukawa na chura nyuma safi ila bahati huna.
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Ila maka lizurii khaaa..!!
Hivi hawakuwa wanakungโ€™angโ€™ania mademu??

Hapo ungekuwa shule yetu ni mwendo wa ngumi kila siku kukugombania. Na ulivyo muhuni sasa bangi nyingi awwww ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ

Atoto ana haki adate ba mtu umenyooka..!!
Maneno yako hayaendani na muonekano wako kabisaaa..!!
Mweeh! Mbona mimi sijaona picha jamani. Kumbe ni mhandsome๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ

makaveli10 naomba picha nami nione.
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Jamani mate uko mshunu ๐Ÿฅฐ
Nyie mliumbwa saa ngapi wenzetu wazuri hivi??

Mungu kashindwa kutubless na sisi wa kaya maskini huku kwanini lakini? ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Subaru moja hiyo ๐Ÿ˜
Subaru Forester hiyo, tena ya 2015.
Mwambie aje gereji kwangu nina spare zake original๐Ÿ˜…
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Woyoooooooo.!! Umeona sasa unatakiwa ukubaliane na macho yangu..!!

Wewe siku hizi shape inanunuliwa, paa pipa ukaji Jennifer Lopez unafeli wapi??

We hushangai siku hizi town kila mtu yupo km Nick Minaj? ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Chana wallet udugu kila kitu kinapambaniwa..!!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Ukitua unifate na dadaako, kwanza nikuulize kule wanaume wa kibongo wana vibibi vyao vya kizungu, kwahiyo na mimi inatakiwa niwe na kibabu cha kizungu? ๐Ÿ˜น

Em kwanza nieleweshe mi ninavyoogopa zile rangi si ntazimia jamani..!! ๐Ÿ˜ฅ
Tena wale wazungu wenyewe asilia wanavyotisha lol..!! ๐Ÿ˜น
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mie hata mwanaume mweupe race tofauti na ya huko mamtoni, simtakii, sijui naonaje? Binafsi namuona km mwenzangu tyuuh, watanisamehe.

Sasa nikikaa na brooh na dogo, huwa nawaulizaga hivi wachumba zenu wanawapendea nn? Sijui hata bangi ya wapi natumia.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Usiwazeeee I will take you to turk or some where for surgery and I will pay bill, am serious ukiniona Mimi around usiwaze kabisa tasimamia hizo gharama untill you be the best and looks how you wish to be , Dunia ya Leo umbo case ndogo sana inatatuliwa kwa siku tu


Fullstop, kwishaaaaaa
Wachaa wee!! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kuna mmoja alinichekesha humu.
Eti, โ€œBaridi la Mbeya unapiga dog style huku umejifunika shukaโ€ nilicheka ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Ila kweliii!! Nyota na bahati ninayoo.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wachaa wee!! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
coc Huwa nahisi Kuna mtu hum unae kimahusiano ndo mana Kuna muda naamua kukupotezea, Kuna wengine hatunaga moyo wa uvumilivu coc, niambie nafac yang kwako, chapchap basi USIJE nifuma NAPIGA sound mtu hum coc pliz๐Ÿ™โ™ฅ๏ธโ™ฅ๏ธ๐Ÿฅ€



Fullstop, kwishaaaaa
 
coc Huwa nahisi Kuna mtu hum unae kimahusiano ndo mana Kuna muda naamua kukupotezea, Kuna wengine hatunaga moyo wa uvumilivu coc, niambie nafac yang kwako, chapchap basi USIJE nifuma NAPIGA sound mtu hum coc pliz๐Ÿ™โ™ฅ๏ธโ™ฅ๏ธ๐Ÿฅ€



Fullstop, kwishaaaaa
Kaka SK(Razor atamfunga Negan lin) kuna mtu yupo serious na shemeji huku ๐Ÿ˜‚

Wakuu shemeji anaimbishwa huku ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Intelligent businessman dosho12 adriz The Consigliere Edo kissy
 
coc Huwa nahisi Kuna mtu hum unae kimahusiano ndo mana Kuna muda naamua kukupotezea, Kuna wengine hatunaga moyo wa uvumilivu coc, niambie nafac yang kwako, chapchap basi USIJE nifuma NAPIGA sound mtu hum coc pliz๐Ÿ™โ™ฅ๏ธโ™ฅ๏ธ๐Ÿฅ€



Fullstop, kwishaaaaa
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Jamaniii? Wee huogopiiii?
 
Back
Top Bottom