Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,212
- 86,849
Mi sio Gen Z tuheshimiane chino ๐น๐นGen z wabongo mnafeli wapi?
Kinukisheni basi!!
Tunawategemea sana mjue
Mi sio Gen Z tuheshimiane chino ๐น๐นGen z wabongo mnafeli wapi?
Kinukisheni basi!!
Tunawategemea sana mjue
mjini Wana ringia nyota!๐๐๐๐๐ uduguu usinijazee, ila nini nimekosa umbo mie kwa kweli. Vinginevyo ningekimbiza qumamake.
Kuna siku nilimuona mtu, sidhani km ni kidampa yule, sikunote kitu, ila jinsi alivyo, unajua ana hips? Afu tako kwa mbalii, alivaa modo ya kitambaa, na shati la 4m 6, chini kapiga sandols.
Nilijisemea, "jamani si ningepewa lile umbo mie niwape heka heka waja"
๐๐๐๐๐๐
hahaha!! Nisamehe my!!Mi sio Gen Z tuheshimiane chino ๐น๐น
Mweeh! Mbona mimi sijaona picha jamani. Kumbe ni mhandsome๐โโ๏ธ๐๐๐ Ila maka lizurii khaaa..!!
Hivi hawakuwa wanakungโangโania mademu??
Hapo ungekuwa shule yetu ni mwendo wa ngumi kila siku kukugombania. Na ulivyo muhuni sasa bangi nyingi awwww ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ
Atoto ana haki adate ba mtu umenyooka..!!
Maneno yako hayaendani na muonekano wako kabisaaa..!!
Ilivunjika chupa ya pepsi ya mwanafunzi mmoja wa IFM, ndio vichupa nikaenda tupia choooni๐๐คฃVichupa gani tena?
Eti babe, mie nina sura ya kupendwa, si umenionea huruma tu ๐Weeeh kumbe!
Amanda wangu, kwani hunijui...Mweeh! Mbona mimi sijaona picha jamani. Kumbe ni mhandsome๐โโ๏ธ
makaveli10 naomba picha nami nione.
Subaru Forester hiyo, tena ya 2015.๐๐ Jamani mate uko mshunu ๐ฅฐ
Nyie mliumbwa saa ngapi wenzetu wazuri hivi??
Mungu kashindwa kutubless na sisi wa kaya maskini huku kwanini lakini? ๐น๐น
Subaru moja hiyo ๐
๐๐๐๐๐๐น๐น๐น๐น๐คฃ๐คฃ
Woyoooooooo.!! Umeona sasa unatakiwa ukubaliane na macho yangu..!!
Wewe siku hizi shape inanunuliwa, paa pipa ukaji Jennifer Lopez unafeli wapi??
We hushangai siku hizi town kila mtu yupo km Nick Minaj? ๐น๐น
Chana wallet udugu kila kitu kinapambaniwa..!!
๐๐๐๐๐น๐น๐น Ukitua unifate na dadaako, kwanza nikuulize kule wanaume wa kibongo wana vibibi vyao vya kizungu, kwahiyo na mimi inatakiwa niwe na kibabu cha kizungu? ๐น
Em kwanza nieleweshe mi ninavyoogopa zile rangi si ntazimia jamani..!! ๐ฅ
Tena wale wazungu wenyewe asilia wanavyotisha lol..!! ๐น
Wachaa wee!! ๐๐๐๐๐Usiwazeeee I will take you to turk or some where for surgery and I will pay bill, am serious ukiniona Mimi around usiwaze kabisa tasimamia hizo gharama untill you be the best and looks how you wish to be , Dunia ya Leo umbo case ndogo sana inatatuliwa kwa siku tu
Fullstop, kwishaaaaaa
Mie sio Gen Z. Unanivunjia heshima shem.Nyie Gen z ndio tunawategemea muikomboe nchi hii!
๐๐๐๐๐ jamaniiiii๐น๐น๐น
Kuna mmoja alinichekesha humu.
Eti, โBaridi la Mbeya unapiga dog style huku umejifunika shukaโ nilicheka ๐น๐น๐น
Ila kweliii!! Nyota na bahati ninayoo.mjini Wana ringia nyota!
Unaweza ukawa na chura nyuma safi ila bahati huna.
Ila kweliii!! Nyota na bahati ninayoo.
๐๐๐๐๐
coc Huwa nahisi Kuna mtu hum unae kimahusiano ndo mana Kuna muda naamua kukupotezea, Kuna wengine hatunaga moyo wa uvumilivu coc, niambie nafac yang kwako, chapchap basi USIJE nifuma NAPIGA sound mtu hum coc pliz๐โฅ๏ธโฅ๏ธ๐ฅWachaa wee!! ๐๐๐๐๐
Kaka SK(Razor atamfunga Negan lin) kuna mtu yupo serious na shemeji huku ๐coc Huwa nahisi Kuna mtu hum unae kimahusiano ndo mana Kuna muda naamua kukupotezea, Kuna wengine hatunaga moyo wa uvumilivu coc, niambie nafac yang kwako, chapchap basi USIJE nifuma NAPIGA sound mtu hum coc pliz๐โฅ๏ธโฅ๏ธ๐ฅ
Fullstop, kwishaaaaa
๐๐๐๐๐coc Huwa nahisi Kuna mtu hum unae kimahusiano ndo mana Kuna muda naamua kukupotezea, Kuna wengine hatunaga moyo wa uvumilivu coc, niambie nafac yang kwako, chapchap basi USIJE nifuma NAPIGA sound mtu hum coc pliz๐โฅ๏ธโฅ๏ธ๐ฅ
Fullstop, kwishaaaaa