Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na wifi yangu nuzulath wanaendana ๐Ÿ˜

Hata wewe uduguu wa moto namba moja yako, em tupia tuone kwanza kitambo ujue ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Usinichekesheee uduguu, na hunijaziii hivyoo
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, na kuna mwingine bhana.
Kuna wanaume wanafauduu nyie, hivi nataka kusema nn?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kiongozi una sneaker kali, bongo unatua lini utuletee kaya maskini..!! Tutakushukuru sana ๐Ÿ™
Udugu umevurugwa na nn leo? Mbna kaya maskini haikauki? Vipi dola 300 zimeleta kizaa zaa au?.
Afu unaambiwa kuna zingine! Upo hapoo.
Dole la kati ๐Ÿ–•. Jamaniiii sio kwa kufokewa kule.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Usinichekesheee uduguu, na hunijaziii hivyoo
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, na kuna mwingine bhana.
Kuna wanaume wanafauduu nyie, hivi nataka kusema nn?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Acha ufala basi mi nakwambia ukweli ujue ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Mimi si ndo ninayeona au?
Mi nishakupitisha wewe namba 1, mama miongozo namba 2, binti kiziwi namba 3.5 hawa wamefungana na nuzulath..!!

Wengine nikiwakumbuka nitawajazia sio kwamba hampo ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Kwenye figure kali ya kimamtoni
Nkamu saint Anne no 1 kabla sijasahau..!!
 
Udugu umevurugwa na nn leo? Mbna kaya maskini haikauki? Vipi dola 300 zimeleta kizaa zaa au?.
Afu unaambiwa kuna zingine! Upo hapoo.
Dole la kati ๐Ÿ–•. Jamaniiii sio kwa kufokewa kule.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kaya maskini tunaonewa tunapewa mido finga ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Mshawishi kiranga akupeleke mambele basi, halafu aliniahidi kunipa rafiki yake tajiri wa visima vya mafuta, hivi anakumbuka kwanza?๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿคฃ

Mwambie ahadi ni deni..!!
 
Acha ufala basi mi nakwambia ukweli ujue ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Mimi si ndo ninayeona au?
Mi nishakupitisha wewe namba 1, mama miongozo namba 2, binti kiziwi namba 3.5 hawa wamefungana na nuzulath..!!

Wengine nikiwakumbuka nitawajazia sio kwamba hampo ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Kwenye figure kali ya kimamtoni
Nkamu saint Anne no 1 kabla sijasahau..!!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ uduguu usinijazee, ila nini nimekosa umbo mie kwa kweli. Vinginevyo ningekimbiza qumamake.

Kuna siku nilimuona mtu, sidhani km ni kidampa yule, sikunote kitu, ila jinsi alivyo, unajua ana hips? Afu tako kwa mbalii, alivaa modo ya kitambaa, na shati la 4m 6, chini kapiga sandols.

Nilijisemea, "jamani si ningepewa lile umbo mie niwape heka heka waja"
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Rangi ya mtume, kumbe Dear wee ni lizuri hivi?
Nimependa mno kucha zako, hadi za miguu, mnawezaje kufuga? Mie nashindwa, sikawiii kuzing'ata meno, ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Afu sorry, eti kuvaa Pete hicho kidole, ina maana gani? Maana nilivaa hivyo nikaishiwa kupopolewa, nikafafanuliwa maana yake, japo kwangu sikustuka, ila niliona km vile niache tyuuh.

Au ndo urembo, ila nongwa za waja tyuuh?
Asante dogo lake. Kucha zangu ni laini lakini hazikatiki hadi nikate mwenyewe.

Mi binafsi navaa tu hapo zaidi ya pete ya kidole cha ndoa sidhani kama kuna maana zingine za pete, Waja tu wanapenda kujitungia.
 
Kaya maskini tunaonewa tunapewa mido finga ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Mshawishi kiranga akupeleke mambele basi, halafu aliniahidi kunipa rafiki yake tajiri wa visima vya mafuta, hivi anakumbuka kwanza?๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿคฃ

Mwambie ahadi ni deni..!!
Yaan mie ndo nachoka, muhimu nitue kwa tirampu, mengine yatajiseti huko huko.
Siwezi kuhangaika na uchumi uko chini ya kiuno changu.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Asante dogo lake. Kucha zangu ni laini lakini hazikatiki hadi nikate mwenyewe.

Mi binafsi navaa tu hapo zaidi ya pete ya kidole cha ndoa sidhani kama kuna maana zingine sa pete, Waja tu wanapenda kujitungia.
Uko msupuu hadi Co poaa!! ๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜
Na mie ntaanza kuvaa hivyo Pete, umenipa ujasiri sahivi.
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Jamani mate uko mshunu ๐Ÿฅฐ
Nyie mliumbwa saa ngapi wenzetu wazuri hivi??

Mungu kashindwa kutubless na sisi wa kaya maskini huku kwanini lakini? ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Subaru moja hiyo ๐Ÿ˜
Mate wote wa forest ni washunu, naona unajitoa!

Janja janja wewe! ๐Ÿ˜…

Kaya whaaaat! Mate unapajua kwetu singida? Kumepauka paaaau!
 
Back
Top Bottom