Usinichekesheee uduguu, na hunijaziii hivyooNa wifi yangu nuzulath wanaendana ๐
Hata wewe uduguu wa moto namba moja yako, em tupia tuone kwanza kitambo ujue ๐น๐น๐น
Kiongozi una sneaker kali, bongo unatua lini utuletee kaya maskini..!! Tutakushukuru sana ๐Sitanii mkuu
Walaa sijasema yeye, ilivyo picha, kimuonekano unataka kuendana nae.Hakika umenifananisha...
Siwezi kuwa yeye
Udugu umevurugwa na nn leo? Mbna kaya maskini haikauki? Vipi dola 300 zimeleta kizaa zaa au?.Kiongozi una sneaker kali, bongo unatua lini utuletee kaya maskini..!! Tutakushukuru sana ๐
Ama kweli ng'ombe wa maskini hazai.Unanitafutia ugomvi tulishaimaliza kesi na atoto ๐น๐น
๐ฅฑ
Hapanaaa! Hiyo loc ni mambelee huko.
Unavaa namba ngap?Kiongozi una sneaker kali, bongo unatua lini utuletee kaya maskini..!! Tutakushukuru sana ๐
Acha ufala basi mi nakwambia ukweli ujue ๐น๐นUsinichekesheee uduguu, na hunijaziii hivyoo
๐๐๐๐๐, na kuna mwingine bhana.
Kuna wanaume wanafauduu nyie, hivi nataka kusema nn?
๐๐๐๐๐
Huenda akawa ndugu yangu, si unajua madingi tena, huenda kwenye 1 na 2, akasababisha "duniani wawili wawili"Walaa sijasema yeye, ilivyo picha, kimuonekano unataka kuendana nae.
39 kiongozi si unajua pisi kali hatushindani na namba za wanaume ๐น๐น๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธUnavaa namba ngap?
Hakuna hata kapete ka ndoa hapo?
Unataka kama hivyo?39 kiongozi si unajua pisi kali hatushindani na namba za wanaume ๐น๐น๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Kaya maskini tunaonewa tunapewa mido finga ๐น๐น๐นUdugu umevurugwa na nn leo? Mbna kaya maskini haikauki? Vipi dola 300 zimeleta kizaa zaa au?.
Afu unaambiwa kuna zingine! Upo hapoo.
Dole la kati ๐. Jamaniiii sio kwa kufokewa kule.
๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐ uduguu usinijazee, ila nini nimekosa umbo mie kwa kweli. Vinginevyo ningekimbiza qumamake.Acha ufala basi mi nakwambia ukweli ujue ๐น๐น
Mimi si ndo ninayeona au?
Mi nishakupitisha wewe namba 1, mama miongozo namba 2, binti kiziwi namba 3.5 hawa wamefungana na nuzulath..!!
Wengine nikiwakumbuka nitawajazia sio kwamba hampo ๐น๐น๐น
Kwenye figure kali ya kimamtoni
Nkamu saint Anne no 1 kabla sijasahau..!!
Acha umalaya ushaoa kaaka ๐น๐นAma kweli ng'ombe wa maskini hazai.
Nimepishana na gari la mshahara ๐๐คฃ
Asante dogo lake. Kucha zangu ni laini lakini hazikatiki hadi nikate mwenyewe.Rangi ya mtume, kumbe Dear wee ni lizuri hivi?
Nimependa mno kucha zako, hadi za miguu, mnawezaje kufuga? Mie nashindwa, sikawiii kuzing'ata meno, ๐๐๐๐
Afu sorry, eti kuvaa Pete hicho kidole, ina maana gani? Maana nilivaa hivyo nikaishiwa kupopolewa, nikafafanuliwa maana yake, japo kwangu sikustuka, ila niliona km vile niache tyuuh.
Au ndo urembo, ila nongwa za waja tyuuh?
Yaan mie ndo nachoka, muhimu nitue kwa tirampu, mengine yatajiseti huko huko.Kaya maskini tunaonewa tunapewa mido finga ๐น๐น๐น
Mshawishi kiranga akupeleke mambele basi, halafu aliniahidi kunipa rafiki yake tajiri wa visima vya mafuta, hivi anakumbuka kwanza?๐น๐น๐คฃ
Mwambie ahadi ni deni..!!
Uko msupuu hadi Co poaa!! ๐๐๐Asante dogo lake. Kucha zangu ni laini lakini hazikatiki hadi nikate mwenyewe.
Mi binafsi navaa tu hapo zaidi ya pete ya kidole cha ndoa sidhani kama kuna maana zingine sa pete, Waja tu wanapenda kujitungia.
Mate wote wa forest ni washunu, naona unajitoa!๐๐ Jamani mate uko mshunu ๐ฅฐ
Nyie mliumbwa saa ngapi wenzetu wazuri hivi??
Mungu kashindwa kutubless na sisi wa kaya maskini huku kwanini lakini? ๐น๐น
Subaru moja hiyo ๐