Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ uduguu usinijazee, ila nini nimekosa umbo mie kwa kweli. Vinginevyo ningekimbiza qumamake.

Kuna siku nilimuona mtu, sidhani km ni kidampa yule, sikunote kitu, ila jinsi alivyo, unajua ana hips? Afu tako kwa mbalii, alivaa modo ya kitambaa, na shati la 4m 6, chini kapiga sandols.

Nilijisemea, "jamani si ningepewa lile umbo mie niwape heka heka waja"
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
😹😹😹😹🀣🀣
Woyoooooooo.!! Umeona sasa unatakiwa ukubaliane na macho yangu..!!

Wewe siku hizi shape inanunuliwa, paa pipa ukaji Jennifer Lopez unafeli wapi??

We hushangai siku hizi town kila mtu yupo km Nick Minaj? 😹😹
Chana wallet udugu kila kitu kinapambaniwa..!!
 
Yaan mie ndo nachoka, muhimu nitue kwa tirampu, mengine yatajiseti huko huko.
Siwezi kuhangaika na uchumi uko chini ya kiuno changu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
😹😹😹 Ukitua unifate na dadaako, kwanza nikuulize kule wanaume wa kibongo wana vibibi vyao vya kizungu, kwahiyo na mimi inatakiwa niwe na kibabu cha kizungu? 😹

Em kwanza nieleweshe mi ninavyoogopa zile rangi si ntazimia jamani..!! πŸ˜₯
Tena wale wazungu wenyewe asilia wanavyotisha lol..!! 😹
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ uduguu usinijazee, ila nini nimekosa umbo mie kwa kweli. Vinginevyo ningekimbiza qumamake.

Kuna siku nilimuona mtu, sidhani km ni kidampa yule, sikunote kitu, ila jinsi alivyo, unajua ana hips? Afu tako kwa mbalii, alivaa modo ya kitambaa, na shati la 4m 6, chini kapiga sandols.

Nilijisemea, "jamani si ningepewa lile umbo mie niwape heka heka waja"
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usiwazeeee I will take you to turk or some where for surgery and I will pay bill, am serious ukiniona Mimi around usiwaze kabisa tasimamia hizo gharama untill you be the best and looks how you wish to be , Dunia ya Leo umbo case ndogo sana inatatuliwa kwa siku tu


Fullstop, kwishaaaaaa
 
Back
Top Bottom