Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lamomy kwenye moja na mbili, nimekutana na picha hii enzi hizo nipo school.
😍😍😍 Ila maka lizurii khaaa..!!
Hivi hawakuwa wanakung’ang’ania mademu??

Hapo ungekuwa shule yetu ni mwendo wa ngumi kila siku kukugombania. Na ulivyo muhuni sasa bangi nyingi awwww 🥰🥰🥰

Atoto ana haki adate ba mtu umenyooka..!!
Maneno yako hayaendani na muonekano wako kabisaaa..!!
 
😍😍😍 Ila maka lizurii khaaa..!!
Hivi hawakuwa wanakung’ang’ania mademu??

Hapo ungekuwa shule yetu ni mwendo wa ngumi kila siku kukugombania. Na ulivyo muhuni sasa bangi nyingi awwww 🥰🥰🥰

Atoto ana haki adate ba mtu umenyooka..!!
Maneno yako hayaendani na muonekano wako kabisaaa..!!
Anitake nani mimi, huyo Atoto mwenyewe, kaamua kunionea huruma tu 😂🤣😂
 
Anitake nani mimi, huyo Atoto mwenyewe, kaamua kunionea huruma tu 😂🤣😂
Uko vizuri sana umenyooka, hii sitanii naongea ukweli 😍

Atoto kuna siku kaniwashia mwenge nimekuchomeka kwa binti wa zamani..!! 😹😹
Kaniuliza we Lamomy mbona unamgawa mume wangu? 🤣

Nikamjibu, “Nimeona anazagaa zagaa hana mtu” 😹😹
 
Rangi ya mtume, kumbe Dear wee ni lizuri hivi?
Nimependa mno kucha zako, hadi za miguu, mnawezaje kufuga? Mie nashindwa, sikawiii kuzing'ata meno, 😂😂😂😂

Afu sorry, eti kuvaa Pete hicho kidole, ina maana gani? Maana nilivaa hivyo nikaishiwa kupopolewa, nikafafanuliwa maana yake, japo kwangu sikustuka, ila niliona km vile niache tyuuh.

Au ndo urembo, ila nongwa za waja tyuuh?
 
😍😍 Jamani mate uko mshunu 🥰
Nyie mliumbwa saa ngapi wenzetu wazuri hivi??

Mungu kashindwa kutubless na sisi wa kaya maskini huku kwanini lakini? 😹😹
Subaru moja hiyo 😍
Yaan ni mzurii huyu BK, aoneshe na shape, ili nimalizie summary, anataka kuendana na fulani hivi humu ndani.

Kuna watu wameumbwaa nyiee. Daaah.
 
Uko vizuri sana umenyooka, hii sitanii naongea ukweli 😍

Atoto kuna siku kaniwashia mwenge nimekuchomeka kwa binti wa zamani..!! 😹😹
Kaniuliza we Lamomy mbona unamgawa mume wangu? 🤣

Nikamjibu, “Nimeona anazagaa zagaa hana mtu” 😹😹
Dah, Atoto kanibania tu, angekuachia ukanipachika kwa binti wa zamani huenda saa hizi, vichupa ningekuwa sivitupii choooni.
🤣😂
 
Back
Top Bottom