ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 16,787
- 61,256
Tena mata ko yenye ukurutuHawa jamaa wanatuona mata Co sana
Tena mata ko yenye ukurutuHawa jamaa wanatuona mata Co sana
Nilitaka kushangaa washikaji wanafeli wapi😁😁 ilinibana nikavua
😍😍😍 Ila maka lizurii khaaa..!!Lamomy kwenye moja na mbili, nimekutana na picha hii enzi hizo nipo school.
😂😂😂😂😂Huyu mpwa wangu watoto wanampenda hivyo hivyo japo akijisikia tu anawazabua 😂😂😂
😍😍 Jamani mate uko mshunu 🥰
Anitake nani mimi, huyo Atoto mwenyewe, kaamua kunionea huruma tu 😂🤣😂😍😍😍 Ila maka lizurii khaaa..!!
Hivi hawakuwa wanakung’ang’ania mademu??
Hapo ungekuwa shule yetu ni mwendo wa ngumi kila siku kukugombania. Na ulivyo muhuni sasa bangi nyingi awwww 🥰🥰🥰
Atoto ana haki adate ba mtu umenyooka..!!
Maneno yako hayaendani na muonekano wako kabisaaa..!!
vijijin huku mkuuAP una laba qaliii, afu loc inaonekana ni mambeleeee.
🔥🔥🔥🔥
Uko vizuri sana umenyooka, hii sitanii naongea ukweli 😍Anitake nani mimi, huyo Atoto mwenyewe, kaamua kunionea huruma tu 😂🤣😂
Rangi ya mtume, kumbe Dear wee ni lizuri hivi?
Aaaah wapiiii!! 😂😂😂vijijin huku mkuu
Yaan ni mzurii huyu BK, aoneshe na shape, ili nimalizie summary, anataka kuendana na fulani hivi humu ndani.😍😍 Jamani mate uko mshunu 🥰
Nyie mliumbwa saa ngapi wenzetu wazuri hivi??
Mungu kashindwa kutubless na sisi wa kaya maskini huku kwanini lakini? 😹😹
Subaru moja hiyo 😍
Dah, Atoto kanibania tu, angekuachia ukanipachika kwa binti wa zamani huenda saa hizi, vichupa ningekuwa sivitupii choooni.Uko vizuri sana umenyooka, hii sitanii naongea ukweli 😍
Atoto kuna siku kaniwashia mwenge nimekuchomeka kwa binti wa zamani..!! 😹😹
Kaniuliza we Lamomy mbona unamgawa mume wangu? 🤣
Nikamjibu, “Nimeona anazagaa zagaa hana mtu” 😹😹
Dogo, tulia basi😂😂😂😂😂
Sijui hata nacheka nini, au bas.
Sitanii mkuuAaaah wapiiii!! 😂😂😂
Nimefanyaje? 😂😂😂😂Dogo, tulia basi
Hapanaaa! Hiyo loc ni mambelee huko.Sitanii mkuu
Hakika umenifananisha...Nimefanyaje? 😂😂😂😂
Hiyo picha kuna mtu nafananisha nae.
Na wifi yangu nuzulath wanaendana 😍Yaan ni mzurii huyu BK, aoneshe na shape, ili nimalizie summary, anataka kuendana na fulani hivi humu ndani.
Kuna watu wameumbwaa nyiee. Daaah.