Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂😂😂😂
Uduguu mie sitaki, nacheka km mwehu hapa. Lol
Nikemee haya mapepo tu hamna namna afu yako serious tuingie dimbani yenyewe yakiwa yametangulia na magoli..!! 😹😹
 
Nikemee haya mapepo tu hamna namna afu yako serious tuingie dimbani yenyewe yakiwa yametangulia na magoli..!! 😹😹
😂😂😂😂😂😂
 
Nakwambiaga nikija uwe unakua nyuma yangu unanisaidia nisipigwee mjini.

Nimepigwa mitaa ya karume mitaa ya TBL kwa mbele; yule fala sijui anatumia vidawa.

Nimejikuta natoa buku mbili za glass ya juice pasipo hata kutarajia, juice yenyewe ni mi maji.

Jamaa kanishobokea kaniita utafikiri ananijua; kaka mkubwa vipi, daah kitambo mi nikabaki navuta taswira mbona simjui huyu. Kuja kushtuka nishakunywa juice glass mbili.
Usome UDSM halafu uokotwe kishamba hivyo?
Hivi chino unatuchukuliaje lakini? 😹😹😹
 
Screenshot_20250907-230910.png
 
Usome UDSM halafu uokotwe kishamba hivyo?
Hivi chino unatuchukuliaje lakini? 😹😹😹
😂😂😂😂😂 kwamba UD kuna nn? Km ni mgeni je?
Chezea Dsm weyeeee. Lol
 
Kwahiyo chino mgeni na wewe unaamini?? 😹😹😹

Hao wa UD shamba leo sawa ila sio kwa chino, mpaka mizigo ya riverside karuka nayo kwa mkopo..!! 😹
😂😂😂😂😂😂 wee umejuajeee?
 
Back
Top Bottom