Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwahiyo chino mgeni na wewe unaamini?? 😹😹😹

Hao wa UD shamba leo sawa ila sio kwa chino, mpaka mizigo ya riverside karuka nayo kwa mkopo..!! 😹
hahaha dah mahi wangu!!

Chino ukimkamata utaona jinsi alivyomshamba na mgeni hajapigana vita nyingi kiasi hiko.

Kipindi Yuko jalalani alikuaga ni joka la kibisa la kisesa mwanza;
 
Yaan bila vurugu, sina amani kabisaa.

Nimekumbuka tangu mdogo, ni full kukiwashaa, full kupigana, full maugomvi, ile kupiganisha watu.
Kuwaputisha mchanga ilu zianze kuwakaa.
😂😂😂😂😂
Hapa nimecheka sana shemeji, umefanya nimkumbuke mpwa wangu 😂

Hiyo siku nipo kwenye harakati zangu nikapishana nae anatoka shule na wenzie wapo kundi halafu yeye kashika mabegi mawili na lake lipo mgongoni ile kuangalia vizuri kumbe yeye ndiye refa wa pambano watu wanataka kuzichapa 😂😂

Nilibaki nacheka tu maana ni mtaratibu japo anamkono wa kupiga ila hili la kuwa refa sikulitegemea kabisa 😂😂😂
 
Hapa nimecheka sana shemeji, umefanya nimkumbuke mpwa wangu 😂

Hiyo siku nipo kwenye harakati zangu nikapishana nae anatoka shule na wenzie wapo kundi halafu yeye kashika mabegi mawili na lake lipo mgongoni ile kuangalia vizuri kumbe yeye ndiye refa wa pambano watu wanataka kuzichapa 😂😂

Nilibaki nacheka tu maana ni mtaratibu japo anamkono wa kupiga ila hili la kuwa refa sikulitegemea kabisa 😂😂😂
Yaan mie kwenye ngumi, mie ndo refariii, najua kukoleza pambano sada, 😂😂😂😂
 
IMG_1891.jpeg
outside
 
Back
Top Bottom