Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,798
- 57,312
Sisi tumeshazeeka Mkuu, tumebaki kucheza na Wajukuu tu 🤗Maandalizi ya weekend yameanza mapema sana
Sisi tumeshazeeka Mkuu, tumebaki kucheza na Wajukuu tu 🤗Maandalizi ya weekend yameanza mapema sana
Hahaha.............eti ameshaliwa 🙌Ameshaliwaaa....
😂😂😂, kwa kweli akili za hawa vijana wa sasa mi mwenyewe sizielewi...Hahaha.................kwamba sharti la tucheki afya kabla mzigo haujaliwa sio 😅
Kuna Dogo mmoja nilimsoma humu anasema yeye anatumia lubricants Mwaka wa 8 huu anadunda
Nikajisemea, ngoja akutane na ule Ukimwi wa Mwaka 2000 atajua hajui
wew ni early ngapi vile😅😂😂😂, kwa kweli akili za hawa vijana wa sasa mi mwenyewe sizielewi...
Hao wamezaliwa baada ya ARVs kuenea, pia hawakushuhudia kampeni za afya kipindi kile early 2000s kwenye TV, redio, vipeperushi vya afya, semina mashuleni n.k..... ndio maana wanachukulia poa...
Ila moyo haunisukumi kabisa yaan sina hofu ya kutishaNenda wakupe PEP, otherwise labda iwe bahati yako 😅
labda huyu havuti bangi.. ila hawa wengine ni problemsKama ni hivyo hawafai
Wanaweza kukuamsha usiku wa manane wakiomba mdinyo
Sasa Kwa umri wetu Babu zenu, tunaweza kufa katikati ya pambano 😜🙌
Yap! Uzee mwisho Chalinze aisee!Hiyo ndiyo mikato muhimu Kwa Wazee
Hata Ikulu unaweza kuarikwa kwenda kumshauri namba moja 🤗
hizi mambo za portable.. ndio zanoga, ila bonge zipo zilizo nyepesi japo tumbo ndio litawaweka mbali mbaliMabonge hayawezi hii shughuli
ibumex nimeshazeeka sasa..wew ni early ngapi vile😅
Hahaha................ulitisha Mzee mwenzangu😅Yap! Uzee mwisho Chalinze aisee!
Nilitinga ofisi za NIDA pale KAWE na bonge la pensi designer kabisa na litisheti likuuubwa la ADIDAS chini raba kali na mzigo wa cheni ya dhahabu feki shingoni. Walinikatalia kuingia utafikiri humo ndani kuna cha maana wanachokifanya. Ilibidi nirudi nyumbani kutupia kanzu na barghashia kwanza.
Ajabu sana 😂😂😂
Huyu Kwa namna alivyo, anaweza kusababisha ukamwachia password ya akaunti ya pension bure 🤗labda huyu havuti bangi.. ila hawa wengine ni problems
View attachment 3441127
Wanasema heri nusu shari kuliko shari kamiliIla moyo haunisukumi kabisa yaan sina hofu ya kutisha
Ilikuwa ni hatari sana miaka ile😂😂😂, kwa kweli akili za hawa vijana wa sasa mi mwenyewe sizielewi...
Hao wamezaliwa baada ya ARVs kuenea, pia hawakushuhudia kampeni za afya kipindi kile early 2000s kwenye TV, redio, vipeperushi vya afya, semina mashuleni n.k..... ndio maana wanachukulia poa...
Nimeenda hospital ya serika nimejuta wanajiona sana mpaka nimejitambulisha ndio wamenipa na kusema nije keshoWanasema heri nusu shari kuliko shari kamili
Mtaji wa kwanza Kwa sisi masikini huwa ni afya