Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuandika kimatani kuwa nilishawahi kuonana na wewe ndo kosa langu kuu lililopelekea ukasirike na uandike hili gazeti?

Aaaaaah!! cocastic kuwa na moyo mpana bhasi rafiki yangu nilikuwa kwenye utani japo umesema hujaniweka kwenye utani

NAKUOMBA UNISAMEHE BURE NA UENDELEE KUNIHESHIMU
Wee ni mgeni na JF? tena km huu uzi, si drama na njegeka zote ulikua unashuhudia? Leo uweke utani kuwa tunajuana nje ya hapa? Ili iweje? Huoni km itakua tatizo huko mbelee?

Mie sahivi sitaki drama za JF zinikutee, najiepusha nazo.

Nitakuheshimu sana tena zaidi.
 
IMG_20250218_121805_495.jpg


Mwaka 47

Enzi hizo ili uandikishwe Shule ni lazima uweze kushika sikio 🙌
 
Mie niko poaa kabisaa, naona Like lecturer hapo mbelee anamwaga madini.
Huyo alikuwa sehemu ya wawezeshaji

Inashauriwa ili kuwepo na tija eneo lako la kazi, inahitaji kujengewa uwezo mara kwa mara ili kuendana na wakati

Kama bado upo Mjini, fanya mpango kesho unipitie unipeleke Mjini

Babu yako, naona muda wa Kliniki ya macho umekaribia
 
Back
Top Bottom