Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 20,059
- 61,305
Huyo alikuwa sehemu ya wawezeshajiMie niko poaa kabisaa, naona Like lecturer hapo mbelee anamwaga madini.
Inashauriwa ili kuwepo na tija eneo lako la kazi, inahitaji kujengewa uwezo mara kwa mara ili kuendana na wakati
Kama bado upo Mjini, fanya mpango kesho unipitie unipeleke Mjini
Babu yako, naona muda wa Kliniki ya macho umekaribia