cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Haki ninakoelekea ntaharibu kabisaaa leo nna roho mtaka fujo![]()




umaliziee na PM kwangu,
😎😎😎😎😎😎😎 Exactly brotherNaona leo mna mbio za langa langa watoto wa kishua
Ni whatsap nikusaidie kukisema hapa🤣🤣🤣 hutaki kuambiwa I’m coming babe, mada faka 😹😹😹
Wazee nasikia ukimpea katikati ya game anakwambia, “Binti yangu acha kwanza mshipa umeshtuka” 😹😹
Halafu wana vibusha wazee wenu.! 🤣
Katikati gari limewaka moto wanauachia mbwiiiiii.!! 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Kuna kitu nilitaka kuongea ila ngoja niache njoo pm tumalizie hapa kuna watu nawaheshimu 😹
Yupi?? 😅😅😅 wa jf siwataki😂😂😂 Ntakuitia shem mmalizane
WOw kikiboxer 🥰🥰🥰 halafu mrefu 😍 haya shemeji yenu, kaselfika. Tuone selfie nyingi, tufunge weekend kibingwa.Ni week end na uzi umejaa porojo nyingi bila picha Bantu Lady View attachment 3110347
Kumbe una vinyweleoo, hongeraa sanaa.Ni week end na uzi umejaa porojo nyingi bila picha Bantu Lady View attachment 3110347
Jukwaani walikataa. Duka la vocha Jumapili limefungwa. Panapo uzima kesho tsapp kipenzi.🥰Wekaaa vochaaa tajiriii.
😂😂😂😂Wewe upo vzr, yaan huna mood unapika chapati.
Wengine wakiamua kupika chapati wanapika chapati inashape Kama triangle
🤣Tufungulie njia wizoo
Tajiri huna baya tajiri weee tajiri pekee kutoka kusini mwa jangwa la Sahara mwenye utu na utulivu 😎Jukwaani walikataa. Duka la vocha Jumapili limefungwa. Panapo uzima kesho tsapp kipenzi.🥰
Mambo 😎
Vinyweleo si kila mtu anavyo? labda tunazidiana tu.Kumbe una vinyweleoo, hongeraa sanaa.
Hiyo jezi ya man U??The Weeknd I feel it coming 😎😎View attachment 3110308
Leo, nimekosa juice ya tende....😂😂😂😂