Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,622
- 69,360
Mi kwangu bado🤪🤪🤪Sasahivi upo vizuri
Tupo tayari sasa kusafisha macho na selfie zenu maboss ledi wawili
Kapeace na Bantu Lady
Mi kwangu bado🤪🤪🤪Sasahivi upo vizuri
Tupo tayari sasa kusafisha macho na selfie zenu maboss ledi wawili
Kapeace na Bantu Lady
Uwiii Yesu wangu🥲😭
Hivi alishaselfika humu?Shem hana shido kabeesaaa 😂😂
Hadi umeweka comment basi jua mtandao tayariMi kwangu bado🤪🤪🤪
Wewe upo vzr, yaan huna mood unapika chapati.Leo Sina mood kabisa nimepika chapat tu imetoka hiyo had kesho
Sawa kiuno nyigu, umesali leo lakini?Hadi umeweka comment basi jua mtandao tayari
Dada mzuri tunaomba picha 🤩
Majasiri sana alooo.!nilionaa km 3 ila za mtu mmokoo,
Ila JF kuna wanaume vichaaa, wanatumaa miboloo yaoo
Na hawaonii aibu.
Siku niamue niwaoneshee wana JF ya PM kwangu, maajabu afu maajabu tenaa.
Tuma hizo zinginee, mahiiiii.
Mmeanza kutusimanga 🤣🤣Wewe upo vzr, yaan huna mood unapika chapati.
Wengine wakiamua kupika chapati wanapika chapati inashape Kama triangle
Mapema sana kabla ya yote.Sawa kiuno nyigu, umesali leo lakini?
Basi usinikazie hivyo mdogo wangu, unajua nashindwa kukukatalia yule kivuruge mwenzio yuko wapi kwanza?Mapema sana kabla ya yote.
Haya
Tunaomba picha mweee
Yaani nimevaa hadi miwani🔥🔥🔥
Vyuma vinaenda kuporomosha picha 🔥🔥🔥🔥
Hatari spatakasi nyingi 😹😹jamaniiiii itakua mfulugoooo.
🤣🤣🤣🤣🤣Achaa Fix, tumaa vochaaa mzee wa hall V.
ila Figo ndo ulikua unampaaa,
Kila nikikumbuka jinsi alivyo walizaa, nabakii hoiii.
Nkamu yupoBasi usinikazie hivyo mdogo wangu, unajua nashindwa kukukatalia yule kivuruge mwenzio yuko wapi kwanza?
😂😂😂 shem aselfike ila najua shem wangu super tall banaHivi alishaselfika humu?
Usije kuwa coca alitupiga kamba kwamba shem mfupi kama Sele wa mbosso.
Nipo nipo selfika pisi y’a babu monk 😍Basi usinikazie hivyo mdogo wangu, unajua nashindwa kukukatalia yule kivuruge mwenzio yuko wapi kwanza?
Awaprove wrong Kwa kweli😂😂😂 shem aselfike ila najua shem wangu super tall bana
Wao waje muda ndo huu kabla hatujatoka kwenda kulewa 😂😂😂Nkamu yupo
Yaani tumekaa standby kusubiri picha yako
Usituangushe🔥🔥🔥
😂😂😂 kabeeesaaa (in shanga voice)Awaprove wrong Kwa kweli
Hii Sele siyo poa kabisa
Uzuri hawa pisi kali hawanaga uswahili kabisaWao waje muda ndo huu kabla hatujatoka kwenda kulewa 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 kabeeesaaa (in shanga voice)