Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Utaviweza vijukuu vya Farao lakini??
Katika kitu sitokuja kujaribu kudate na mwanaume niliyemzidi umri aiseee.!!

Wakinga tuna dharau sasa kimtu kidogo eti kinipande kichwani naweza nikamzabua kofi akanichukia…
Kuna mwebrania nilimuwashaga kofi halafu nikakimbia mimi, nikaona hapa huyu uvumilivu uko 0.00 ntachapika bure.
jamaniii leo ntapasukaa mbavuu.
 
Hakuwa anaweka settup kuna dem alikuwa anampanga anaongea nao
sasa yulee aliyefunguaa uzi, c ndo alisema alikua anaweka settup, ile siku akajisahau, akashangaa jisauti ja jibaba hii hapaaa.

Jamaniii hii JF mbna ina manjegekaa hiviii? Woiiiiiiiih
 
Thubutuuuu, autoe wapii u tall? Ni kifupii, kina macho makubwaa, hata kwenye Gari hakuweza kushukaa,

Afu hapo unaambiwaa walikua wanaendaga had gym,
, nyiee mie sitakiiii, nimeokokaa.

Woiiiiiiih
Nambie koma shosti 😂😂

Kwahiyo shem ana macho km ndubwi?! 😹
Na walikuwa wanamgombania kabisaa?!!
Nyie pesa hizi zinadhalilisha wadada wafanye kazi watabeba viemoro 🤣🤣🤣

Eeh gym walikuwa wanaenda kufanya mazoezi ya nini?? 😂😂
Na wanaume wafupi wasivyojiamini sasa.!!
Kila demu anamtaka ili kuziba kasoro zake 😹
Wanajifanyaga lover boy na wanapenda kujisifia wanamiliki migobole kumbe hamna kitu.! Hivi mi nataka kusemaje?? 😂😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
jamaniii leo ntapasukaa mbavuu.
😂😂😂 hii tabia naipenda yani temper ikiwa high kifuatacho kelbu..!
Kuna mtu alinitibua kuna siku nikasema ww ungekuwa karibu kofi ningekuwasha ungesimulia had vitukuu vyako..!!
 
sasa yulee aliyefunguaa uzi, c ndo alisema alikua anaweka settup, ile siku akajisahau, akashangaa jisauti ja jibaba hii hapaaa.

Jamaniii hii JF mbna ina manjegekaa hiviii? Woiiiiiiiih
🤣🤣🤣🤣 JF ina vituko sana..
Kuna member anaitwa yellow donat unamjua??
Namtafuta ana maubuyu mengi sana
 
Utaviweza vijukuu vya Farao lakini??
Katika kitu sitokuja kujaribu kudate na mwanaume niliyemzidi umri aiseee.!! 🤣🤣

Wakinga tuna dharau sasa kimtu kidogo eti kinipande kichwani naweza nikamzabua kofi akanichukia… 😹😹😹
Kuna mwebrania nilimuwashaga kofi halafu nikakimbia mimi, nikaona hapa huyu uvumilivu uko 0.00 ntachapika bure.
😅😅😅we kweli uvumilivu huna, nimeandika tu mimi ndo kabisaa siwezi kujaribu kuwa na dogodogo na hizi dharau mtoto wa watu anaweza kujuta kuzaliwa, mi na wazee mpaka kifo kitutenganishe
 
Nambie koma shosti

Kwahiyo shem ana macho km ndubwi?!
Na walikuwa wanamgombania kabisaa?!!
Nyie pesa hizi zinadhalilisha wadada wafanye kazi watabeba viemoro

Eeh gym walikuwa wanaenda kufanya mazoezi ya nini??
Na wanaume wafupi wasivyojiamini sasa.!!
Kila demu anamtaka ili kuziba kasoro zake
Wanajifanyaga lover boy na wanapenda kujisifia wanamiliki migobole kumbe hamna kitu.! Hivi mi nataka kusemaje??
Semaa chochotee unachotakaaa,
JF ni full heka hekaa mahiiiii.

Na alikua anawatafutia kazi, ndugu wa wake zakee, au marafiki wao.

ilaa selee, ananiacha hoii padogo tyuuh.
 
hii tabia naipenda yani temper ikiwa high kifuatacho kelbu..!
Kuna mtu alinitibua kuna siku nikasema ww ungekuwa karibu kofi ningekuwasha ungesimulia had vitukuu vyako..!!
nyiee mnanivunjaa mbavu ujue,
Woiiiiiiii.
 
Semaa chochotee unachotakaaa,
JF ni full heka hekaa mahiiiii.

Na alikua anawatafutia kazi, ndugu wa wake zakee, au marafiki wao.

ilaa selee, ananiacha hoii padogo tyuuh.
Sele yuko vizuri kawalambisha ajira mpk ndugu wa masuria yake awhhh apewe sifa zake huyu muungwana 😂😂😂

Sema kajipakulia minyama yani anawapanga leo nitoke na yupi akanipe mitikisiko ya Pwani 😹

Ila shangazi kupambana wangemfilisi mana shem anahonga sana.!! 🤣
JF story za sele tyuu.!!
 
Back
Top Bottom