Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pole nakuja kukuona mgonjwa, mi nilikuwa nauza vijora kwanza… leo nipo mwingi..!
Weka namba The Monk asababishe unywe ceres 😜
Screenshot_2024-09-26-18-09-02-36_965bbf4d18d205f782c6b8409c5773a4.jpg


Tufanye hivi, wewe utampelekea mgonjwa, ujumlishe mauzo ya vijora na mie nilizopata kwenye kuuza madafu nikukabidhi...mambo yasiwe mengi.
 
View attachment 3107447

Tufanye hivi, wewe utampelekea mgonjwa, ujumlishe mauzo ya vijora na mie nilizopata kwenye kuuza madafu nikukabidhi...mambo yasiwe mengi.
Shemeji mimi sina pesa, mtaji wenyewe wa vijora wa elfu 50 sasa nikitoa si nimefirisika 🤣🤣🤣

Wewe fungua pm utume pesa kwa mgonjwa najua na mimi nitapata y’a balimi moja 😹
 
Back
Top Bottom