sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
🤣🤣🤣🤣Sasa hadi wanaume wanafunga pm?? Wanaficha nini? Wanawake sawa tena inatakiwa yawepo makomeo ya kutosha
Kwann mfunge piem?? Ela tutatumaje Kama mmefunga njia
🤣🤣🤣🤣Sasa hadi wanaume wanafunga pm?? Wanaficha nini? Wanawake sawa tena inatakiwa yawepo makomeo ya kutosha
Yani ndo hivyo tunapishana na magari ya mshahara, ila wewe naona hujafunga saiv nakagua wakaka waliofunga pm, kwanini lakini?🤣🤣🤣🤣
Kwann mfunge piem?? Ela tutatumaje Kama mmefunga njia
Zimepanda kiasiMi nashida ya kujua dola,
Nambie basi km siku ile! Ili nifanye maamuziZimepanda
Zimepanda kiasi
Ngoja nimkague halafu wanajiita wazee!! Wazee wanaficha nini hawa?
Ubarikiwe mpaka ushangae
Piemu yangu ipo wazi lakini sijawahi kupewa salamu hata Kwa bahati mbaya 🙌
Ukiona mtoto wa kiume kafunga piem huyo ana Dalili za kuwa YAI YAIMkuu wewe hujafunga piem
Inshallah na kwako pia ndugu yanguUbarikiwe mpaka ushangae
Aliwakomesha wengine😂😂😂 kawakomesha
Yani mi najiuliza wanapata ghasia zipi mpaka kuamua kufunga, sie wanawake inajulikana dhoruba tunazokutana nazo sasa na nyie!!Ukiona mtoto wa kiume kafunga piem huyo ana Dalili za kuwa YAI YAI
Kwa Nini nifunge pm
🙏Ukiona mtoto wa kiume kafunga piem huyo ana Dalili za kuwa YAI YAI
Kwa Nini nifunge pm
Jmn mbona hivi unanitamanishaKwanza nile nishibe
View attachment 3107469
Wanazingua sana Bora wanawake ndio wafunge maana wanapata usumbufu sana na vijana wa hovyoYani mi najiuliza wanapata ghasia zipi mpaka kuamua kufunga, sie wanawake inajulikana dhoruba tunazokutana nazo sasa na nyie!!
Usd imepanda lakini si sana kama mwezi wa 2-7 ebanaeee
😂😂😂 kasema anazo pic zako ananitumiaAliwakomesha wengine
Mimi mwenyewe kibaka mstaafu
Alafu kalivo kabwege kanaomba hela ndogo ndogo ili isiwe rahisi kuchomoa
Mbona wanawake wengi pm ziko wazi 😂😂Yani mi najiuliza wanapata ghasia zipi mpaka kuamua kufunga, sie wanawake inajulikana dhoruba tunazokutana nazo sasa na nyie!!
Usd imepanda lakini si sana kama mwezi wa 2-7 ebanaeee
Ktk uBora wako 🤣Huyo tajiriii Hana konakona kanyooka ohh 🤣🤣
Mi nataka kuanza week-end mapema sitaki stress 😹 fanya chap tena umjibu kwa adabu mh 🤣